Wakuu, Asubuhi ya Leo nimeamka mwanajeshi wangu kasimama hatari, yaani anasimama then anapoa anasimama then anapoa.
So mida hii huyu mwanajeshi amepoa kabisa ila Nahisi maumivu makali kwa korodani zangu. Pia Nina mda mwingi sana sijafanya mapenzi wala kupiga punyeto..
Tatizo ni hapa Madoctor..?