ambwilikiti
JF-Expert Member
- Feb 2, 2014
- 204
- 59
Inakuwaje taasisi kubwa kama hii eti haina Form za kujiunga uanachama hasa kwa waliopo mikoani? Aibu kwenu, mnamtia aibu Rais. Na bahati mbaya hata kwenye website yenu haipo.
Aibu sana
Aibu sana