PSSSF wanakwama wapi?

PSSSF wanakwama wapi?

ambwilikiti

JF-Expert Member
Joined
Feb 2, 2014
Posts
204
Reaction score
59
Inakuwaje taasisi kubwa kama hii eti haina Form za kujiunga uanachama hasa kwa waliopo mikoani? Aibu kwenu, mnamtia aibu Rais. Na bahati mbaya hata kwenye website yenu haipo.

Aibu sana
 
Mafao ya uzazi mpaka Leo karibia mtoto anaanza shule! Holaaa!!!!
 
Hayo ndio maendeleo anayoyataka Magufili, hakuna ushindani hakuna ubunifu. Tujiandae kupata huduma za hovyo kila sehemu ambako serikali imeweka monopoly.
 
Back
Top Bottom