Jamani walioomba nafasi mbalimbali leo hawa jamaa wametoa list kwa ajili ya written interview kwenye website yao...
www.pspf-tz.orgNaomba nisaidie web site ambayo naweza kuingia nikaona hayo majina maana nimeangalia cjaona.asante.
hutaki mtoto wa pinda apate kaz authank kwa taarifa! na mimi nimo kuna nafasi numekuwa shortlisted pamoja na watu wengine pia yupo na mtoto wa Mizengo Pinda.
thank kwa taarifa! na mimi nimo kuna nafasi numekuwa shortlisted pamoja na watu wengine pia yupo na mtoto wa Mizengo Pinda.
Duuuh, operation officer nafasi 6. Shortlisted 2004
Huyo IT specialist wao au secretary aliechapisha hayo majina alikuwa na haraka au amechoka??list majina kibao lakini ukiangalia ni rpetition zaidi ya mara tatu..Nyie PSPF na IT department kuweni serios bas hata kama ni human error haiwez jirudia rudia kiasi hiki,
Duuuh, operation officer nafasi 6. Shortlisted 2004
Jamani walioomba nafasi mbalimbali leo hawa jamaa wametoa list kwa ajili ya written interview kwenye website yao...