dah kaka hata mimi hadi nachoka aisee..hivi ile post finance officer grade 2 tayari???maana ya fiance tax kuna mtu alisematayari kashapata ile nafasi.sasa sijui wale wa3 wa finance officer 2 kama kuna mtu ana info za uhakika atujuze
dah kaka hata mimi hadi nachoka aisee..hivi ile post finance officer grade 2 tayari???maana ya fiance tax kuna mtu alisematayari kashapata ile nafasi.sasa sijui wale wa3 wa finance officer 2 kama kuna mtu ana info za uhakika atujuze
dah kaka hata mimi hadi nachoka aisee..hivi ile post finance officer grade 2 tayari???maana ya fiance tax kuna mtu alisematayari kashapata ile nafasi.sasa sijui wale wa3 wa finance officer 2 kama kuna mtu ana info za uhakika atujuze
guys mngeona ambavo nilijipanga..waliniulza almost 15 Questions zote knowledge ya darasani niliwajibu clear kasoro moja nikawaambia kabsa sijawai kulisikia ilo neno