pspf kimyaaaaaaaaaa

pspf kimyaaaaaaaaaa

Vimemo vingi, wanashindwa wamwite nani wamuache nani kwenye interview.
 
Mimi nimesikia sikia ya kwamba zile nafasi zitatangazwa tena na itabidi tu-apply upya.
 
Wameishafirisika hao. Si umesikia kwenye vyombo vya habari? Ufisadi umetawala kwenye sekta za serikali hizo.
 
Nafasi za pspf kama huna mbunge unayemfahamu akuunganishie ni ngumu kupata labda mpaka kwa neema ya Mungu.
 
Zile zina wenyewe kabisaa pale full vi memo kuna mikataba mipya itatolewa soon wale walioko ndani kama hukuja kwa memo umekwisha, sisi tulioko nje kama huna memo no interview.
 
Teteteteteeeeeee, alafu vimemo vinashindanishwa maana navyo vimezidi idadi ya nafasi za kazi. kwikwikwikwikwi.
 
mbona watu wameshaanza tayari.. na kwa sasa wapo training.. nna sister angu mmoja nilikuwa nikifanyanae kazi amepata hapo wapo training now ppf tower, wiki sasa.. but ye anasema kapigiwa pande .. mjini hapa!!!!!
 
mbona watu wameshaanza tayari.. na kwa sasa wapo training.. nna sister angu mmoja nilikuwa nikifanyanae kazi amepata hapo wapo training now ppf tower, wiki sasa.. but ye anasema kapigiwa pande .. mjini hapa!!!!!

Acha ukuda kaka unataka kusema pspf wamekosa sehemu ya training mpaka waende ppf au umechanganya desa
 
Mbona kuna sled wanasema mtoto wa katibu mkuu wa wizara flan kalamba shavu? Au sio intake hiyo?
 
Da kazi za siku hizi! sipati picha miaka kumi ijayo soko la ajira litakuaje hapa Bongo, maana kwa utitiri huu wa vyuo tunakaribia kuwafikia wanaijeria, wasomi kibao, kazi hakuna! issue itabaki ni survival for the fittest!
 
mbona watu wameshaanza tayari.. na kwa sasa wapo training.. nna sister angu mmoja nilikuwa nikifanyanae kazi amepata hapo wapo training now ppf tower, wiki sasa.. but ye anasema kapigiwa pande .. mjini hapa!!!!!
duh!kwhy ka muda kangu ka kuandika barua.copy hela na muda wa kupeleka .imekula kwangu.uwiiiiii
 
That how most of our tanzanian offices are!!!cuz zimelelewa ki ccm,rushwa nyingi,upuuuz mwingi na vifo vingi.
 
hizi taasisi kupata kazi lazima utembee na kimemo toka kwa wakubwa ndo maana wengine tushaga acha kuapply huko ni kupoteza muda
 
Back
Top Bottom