M mnyevushaji Member Joined Oct 4, 2011 Posts 24 Reaction score 1 Mar 4, 2013 #1 πlayball:Wadau naomba kuuliza vp wajombawashaita watu ktk interview au ndo imekula kwetu:wink:
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,915 Reaction score 30,027 Mar 4, 2013 #2 Kuita kwenye written interview - June '13 Oral Interview - Sept '13 Barua za ajira - Jan '14 Kuanza kazi - March '14
Kuita kwenye written interview - June '13 Oral Interview - Sept '13 Barua za ajira - Jan '14 Kuanza kazi - March '14
M Mario Gomez JF-Expert Member Joined Nov 1, 2011 Posts 821 Reaction score 588 Mar 4, 2013 #3 Kama kweli hii ndiyo ratiba yao basi inasikitisha sana,kuanza kazi March 2014???
M Mario Gomez JF-Expert Member Joined Nov 1, 2011 Posts 821 Reaction score 588 Mar 4, 2013 #4 Kama kweli hii ndiyo ratiba yao basi inasikitisha sana,kuanza kazi March 2014???
BahatiBillionaire Member Joined Jan 25, 2013 Posts 73 Reaction score 98 Mar 5, 2013 #5 Shark said: Kuita kwenye written interview - June '13 Oral Interview - Sept '13 Barua za ajira - Jan '14 Kuanza kazi - March '14 Click to expand... Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi...
Shark said: Kuita kwenye written interview - June '13 Oral Interview - Sept '13 Barua za ajira - Jan '14 Kuanza kazi - March '14 Click to expand... Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi...
K kalikenye JF-Expert Member Joined Dec 21, 2009 Posts 1,649 Reaction score 373 Mar 5, 2013 #6 ian007 said: Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi... Click to expand... Kwani we huwajui PSPF? Full uhuni.
ian007 said: Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi... Click to expand... Kwani we huwajui PSPF? Full uhuni.
Shark JF-Expert Member Joined Jan 25, 2010 Posts 29,915 Reaction score 30,027 Mar 5, 2013 #7 ian007 said: Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi... Click to expand... Tupinge!!
ian007 said: Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi... Click to expand... Tupinge!!
sister JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9,014 Reaction score 6,852 Mar 5, 2013 #8 watu mbona wameshaanza kazi.
N nenegete Member Joined Feb 27, 2013 Posts 20 Reaction score 4 Mar 5, 2013 #9 sister said: watu mbona wameshaanza kazi. Click to expand... πlayball: kwa hiyo hao walioanza kazi wamefanya lini interview?
sister said: watu mbona wameshaanza kazi. Click to expand... πlayball: kwa hiyo hao walioanza kazi wamefanya lini interview?
sister JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9,014 Reaction score 6,852 Mar 5, 2013 #10 nenegete said: πlayball: kwa hiyo hao walioanza kazi wamefanya lini interview? Click to expand... walishafanya kabla ya hata tangazo la ajira halijatoka.
nenegete said: πlayball: kwa hiyo hao walioanza kazi wamefanya lini interview? Click to expand... walishafanya kabla ya hata tangazo la ajira halijatoka.
Wilbert1974 JF-Expert Member Joined Feb 10, 2011 Posts 1,632 Reaction score 481 Mar 5, 2013 #11 sister said: walishafanya kabla ya hata tangazo la ajira halijatoka. Click to expand... Kwa hiyo tangazo la ajira huwekwa ka bosheni tu!:yo:
sister said: walishafanya kabla ya hata tangazo la ajira halijatoka. Click to expand... Kwa hiyo tangazo la ajira huwekwa ka bosheni tu!:yo:
sister JF-Expert Member Joined Nov 23, 2011 Posts 9,014 Reaction score 6,852 Mar 5, 2013 #12 Wilbert1974 said: Kwa hiyo tangazo la ajira huwekwa ka bosheni tu!:yo: Click to expand... yani hapo ni kama formality tu......watu wako kazini sasa hivi.
Wilbert1974 said: Kwa hiyo tangazo la ajira huwekwa ka bosheni tu!:yo: Click to expand... yani hapo ni kama formality tu......watu wako kazini sasa hivi.
N nenegete Member Joined Feb 27, 2013 Posts 20 Reaction score 4 Mar 5, 2013 #13 Du hapo mie sina tena swali!
R raky JF-Expert Member Joined Nov 14, 2011 Posts 206 Reaction score 34 Mar 5, 2013 #14 Kuna watu walikuwa wanafanya kazi pale kwa contract ya mwaka halafu contract Yao inaisha mwezi huu hao nao wameaply hizi kazi kwahyo competition ni kubwa sana hao wananafac ya kupewa hiyo kazi, zaidi ni kumuomba mungu atende muujiza
Kuna watu walikuwa wanafanya kazi pale kwa contract ya mwaka halafu contract Yao inaisha mwezi huu hao nao wameaply hizi kazi kwahyo competition ni kubwa sana hao wananafac ya kupewa hiyo kazi, zaidi ni kumuomba mungu atende muujiza