mnyevushaji
Member
- Oct 4, 2011
- 24
- 1
😛layball:Wadau naomba kuuliza vp wajombawashaita watu ktk interview au ndo imekula kwetu:wink:
Kuita kwenye written interview - June '13
Oral Interview - Sept '13
Barua za ajira - Jan '14
Kuanza kazi - March '14
Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi...
Huu sio ukweli... PSPF Mpaka june watu watakuwa wameshanza kazi...
😛layball:watu mbona wameshaanza kazi.
walishafanya kabla ya hata tangazo la ajira halijatoka.😛layball:
kwa hiyo hao walioanza kazi wamefanya lini interview?
Kwa hiyo tangazo la ajira huwekwa ka bosheni tu!:yo:walishafanya kabla ya hata tangazo la ajira halijatoka.
yani hapo ni kama formality tu......watu wako kazini sasa hivi.Kwa hiyo tangazo la ajira huwekwa ka bosheni tu!:yo: