K Kitox Member Joined Aug 28, 2019 Posts 31 Reaction score 22 Feb 19, 2022 #1 Nauza PS4 CONSOLES mbili, makochi mawili na TV aina ya ONLING inch 32 Habari wakuu...kutokana na mambo kuwa mengi, na hivyo nimeshindwa kusimamia biashara ya PLAY STATION, nauza vitu hivyo kama vilivyotajwa. MUHIMU:-Vitu vyote havina muda sana, kwani vilinunuliwa/kutengenezwa mwaka jana mwezi wa saba. Bei ni nafuu, kwa mwenye uhitaji na aliye serious naomba tuwasiliane PM.
Nauza PS4 CONSOLES mbili, makochi mawili na TV aina ya ONLING inch 32 Habari wakuu...kutokana na mambo kuwa mengi, na hivyo nimeshindwa kusimamia biashara ya PLAY STATION, nauza vitu hivyo kama vilivyotajwa. MUHIMU:-Vitu vyote havina muda sana, kwani vilinunuliwa/kutengenezwa mwaka jana mwezi wa saba. Bei ni nafuu, kwa mwenye uhitaji na aliye serious naomba tuwasiliane PM.
Dr wa Kaliua JF-Expert Member Joined Sep 20, 2020 Posts 1,634 Reaction score 3,880 Feb 19, 2022 #2 Kaka kwa Milioni nane nyingi Sana! Nina milioni Tano tu, Kama inawezekana tufanye Biashara
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,967 Reaction score 104,382 Feb 19, 2022 #3 Hujaweka bei chief.. Chukua 1.2 hizi si PS4 toleo la kwanza!?
kimpe JF-Expert Member Joined Jan 26, 2012 Posts 911 Reaction score 862 Feb 19, 2022 #4 Milion kumi si bora ninunue IST nina Milioni 9.5
pilato93 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 6,967 Reaction score 7,662 Feb 19, 2022 #5 kimpe said: Milion kumi si bora ninunue IST nina Milioni 9.5 Click to expand... Kama milioni kumi si unapata kila kitu na chenji inabaki nyingi sana hayuko serious kwa kweli
kimpe said: Milion kumi si bora ninunue IST nina Milioni 9.5 Click to expand... Kama milioni kumi si unapata kila kitu na chenji inabaki nyingi sana hayuko serious kwa kweli
K Kitox Member Joined Aug 28, 2019 Posts 31 Reaction score 22 Feb 19, 2022 Thread starter #6 Mtoto wa Masikini_Tz said: Kaka kwa Milioni nane nyingi Sana! Nina milioni Tano tu, Kama inawezekana tufanye Biashara Click to expand... Sijakuelewa.
Mtoto wa Masikini_Tz said: Kaka kwa Milioni nane nyingi Sana! Nina milioni Tano tu, Kama inawezekana tufanye Biashara Click to expand... Sijakuelewa.
K Kitox Member Joined Aug 28, 2019 Posts 31 Reaction score 22 Feb 19, 2022 Thread starter #7 pilato93 said: Kama milioni kumi si unapata kila kitu na chenji inabaki nyingi sana hayuko serious kwa kweli Click to expand... Nani kasema milioni kumi?
pilato93 said: Kama milioni kumi si unapata kila kitu na chenji inabaki nyingi sana hayuko serious kwa kweli Click to expand... Nani kasema milioni kumi?
K Kitox Member Joined Aug 28, 2019 Posts 31 Reaction score 22 Feb 19, 2022 Thread starter #8 makaveli10 said: Hujaweka bei chief.. Chukua 1.2 hizi si PS4 toleo la kwanza!? Click to expand... Soma vizuri tangazo...''kama uko serious nicheki pm"
makaveli10 said: Hujaweka bei chief.. Chukua 1.2 hizi si PS4 toleo la kwanza!? Click to expand... Soma vizuri tangazo...''kama uko serious nicheki pm"
Jephta2003 JF-Expert Member Joined Feb 27, 2008 Posts 6,722 Reaction score 6,593 Feb 19, 2022 #9 Kitox said: Nani kasema milioni kumi? Click to expand... Wewe weka bei basi na wewe,mambo ya inbox watu wa huku hawayapendi Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
Kitox said: Nani kasema milioni kumi? Click to expand... Wewe weka bei basi na wewe,mambo ya inbox watu wa huku hawayapendi Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
pilato93 JF-Expert Member Joined Jun 28, 2014 Posts 6,967 Reaction score 7,662 Feb 19, 2022 #10 Kitox said: Nani kasema milioni kumi? Click to expand... Nimeqote aliyesema milioni kumi, kingine ukitaka kuuza kitu weka bri hadharani unaficha nini sasa?
Kitox said: Nani kasema milioni kumi? Click to expand... Nimeqote aliyesema milioni kumi, kingine ukitaka kuuza kitu weka bri hadharani unaficha nini sasa?
Saguda47 JF-Expert Member Joined May 1, 2016 Posts 11,757 Reaction score 21,984 Feb 19, 2022 #11 Weka wazi biashara yako mkuu, usiite watu pm, siyo kuzuri huko mwaisa!!
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,193 Reaction score 74,006 Feb 19, 2022 #12 Kitox said: Soma vizuri tangazo...''kama uko serious nicheki pm" Click to expand... Jamii forums hua haina mambo ya kuchekiana pm taja bei mtu akija pm anakuja kubargain mambo mengine ila bei kashajua. Nitajie games zilizopo humo na kama unatoa padi pia na bei ya mashine
Kitox said: Soma vizuri tangazo...''kama uko serious nicheki pm" Click to expand... Jamii forums hua haina mambo ya kuchekiana pm taja bei mtu akija pm anakuja kubargain mambo mengine ila bei kashajua. Nitajie games zilizopo humo na kama unatoa padi pia na bei ya mashine
Dr wa Kaliua JF-Expert Member Joined Sep 20, 2020 Posts 1,634 Reaction score 3,880 Feb 19, 2022 #13 Kaka nimepambana nimepata Millioni Tisa vipi unaweza kunisaidia?
Mzee Wa Kale Kabisa JF-Expert Member Joined Mar 25, 2018 Posts 2,627 Reaction score 4,343 Feb 19, 2022 #14 Kitox said: Nani kasema milioni kumi? Click to expand... Hii ndio JF, hapo unakumbushwa kuweka bei hadharani huku hakuna mambo ya Pm
Kitox said: Nani kasema milioni kumi? Click to expand... Hii ndio JF, hapo unakumbushwa kuweka bei hadharani huku hakuna mambo ya Pm
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,193 Reaction score 74,006 Feb 19, 2022 #15 Mtoto wa Masikini_Tz said: Kaka nimepambana nimepata Millioni Tisa vipi unaweza kunisaidia? Click to expand... Milioni tisa ndogo sana ongeza angalau iwe elfu 70
Mtoto wa Masikini_Tz said: Kaka nimepambana nimepata Millioni Tisa vipi unaweza kunisaidia? Click to expand... Milioni tisa ndogo sana ongeza angalau iwe elfu 70
Dr wa Kaliua JF-Expert Member Joined Sep 20, 2020 Posts 1,634 Reaction score 3,880 Feb 19, 2022 #16 Castr said: Milioni tisa ndogo sana ongeza angalau iwe elfu 70 Click to expand... Daah sawa Mimi natoa milioni kumi na elfu 80
Castr said: Milioni tisa ndogo sana ongeza angalau iwe elfu 70 Click to expand... Daah sawa Mimi natoa milioni kumi na elfu 80
makaveli10 JF-Expert Member Joined Mar 27, 2013 Posts 35,967 Reaction score 104,382 Feb 19, 2022 #17 M Kitox said: Soma vizuri tangazo...''kama uko serious nicheki pm" Click to expand... amno ya pm miyeyusho, haya tayari nishakucheki huko prime minister. Chungulia.
M Kitox said: Soma vizuri tangazo...''kama uko serious nicheki pm" Click to expand... amno ya pm miyeyusho, haya tayari nishakucheki huko prime minister. Chungulia.
Greg50 JF-Expert Member Joined Feb 11, 2014 Posts 1,979 Reaction score 2,494 Feb 19, 2022 #18 Bei, location?
C Castr JF-Expert Member Joined Apr 5, 2014 Posts 37,193 Reaction score 74,006 Feb 19, 2022 #20 makaveli10 said: M amno ya pm miyeyusho, haya tayari nishakucheki huko prime minister. Chungulia. Click to expand... Gunner mi nina 4 fat naiuza ila inatumia system ya HEN na haina pad. Weka 560
makaveli10 said: M amno ya pm miyeyusho, haya tayari nishakucheki huko prime minister. Chungulia. Click to expand... Gunner mi nina 4 fat naiuza ila inatumia system ya HEN na haina pad. Weka 560