Nchiyanguu
JF-Expert Member
- Sep 3, 2021
- 319
- 619
Mass tech kiloBei Gani
nitakutafutaMass tech kilo
Moja sealed 50,000 & kilo
Moja ya kupima 45,000
IG: protein_supplemets
Wasap/call: 0713908963
Protein supplements kwanza zinatumika kwa jinsia zote yani mwanamke na mwanaume. Mwanamke kama ni mwembamba yani slim body so anataka kuongeza mwili anaweza tumia protein. Na mwanaume kama anataka ajenge mwili wake pia anaweza tumia. Jinsi yakutumia hii ipo katika mfumo wa powder so unachanganya na maziwa au fruits yani juisi ya matunda au maji anatikisa au anaweza ku blend akanywa.Zinafanyaje kazi hizo
😂😂 hizi kwanza ni special kwa watu wembamba so kama mtu ni mwembamba hii inakufaa kabisa. Na kuhusu madhara au side effects hakuna ndio maana kuna mtu unakuta anataka kufanyiwa OP hospital lakin unakuta Afya yake ni dhohofu unakuta Doctor anamshauri atumie protein kama WHEY ili ajenge mwili aweze fanyiwa op so hazina shida kabisa.Kwa watu wembamba kama mh mello inakuaje akitaka kujenga mwili..na madhara yake kiafya ni yapi?
Nipo mkoa napatajeProtein supplements kwanza zinatumika kwa jinsia zote yani mwanamke na mwanaume. Mwanamke kama ni mwembamba yani slim body so anataka kuongeza mwili anaweza tumia protein. Na mwanaume kama anataka ajenge mwili wake pia anaweza tumia. Jinsi yakutumia hii ipo katika mfumo wa powder so unachanganya na maziwa au fruits yani juisi ya matunda au maji anatikisa au anaweza ku blend akanywa.
Karibu sanaa
Kitu chochote ukitumia kwa wingi au kwakutofwat maelekezo kina madhara mkuuWewe tangaza biashara tu, lakini usiseme kama hazina madhara. Kitu chochote kinachoundwa artificially na binadamu basi kina side effects.
Mikoani ninao mawakala mkuu. Nicheki wasap 0713908963
Hizi protein unatumia mpaka utakapopata matokeo unayoyataka wewe then unacha unaendelea na workouts. Ukiacha hautapungua kwasababu umeacha hapana labda kutokana na external factors kama ugonjwa NkNa ikitokea mtu ameacha kutumia hizo powder nini kitatokea ? Mwili utarudi kama mwanzo ?
Sahihi kabisa ila kuna watu wanashindwa ndio maana ikaja mbadala wake, lakini kama unakula vizuri unapata vyakula muhimu vua kujenga mwili kwa kiwango kinachoitajika haina umuhimu wakutumia supplementsWanasema if you eat clen and tren hard you will get anything you want.
SawaMikoani ninao mawakala mkuu. Nicheki wasap 0713908963
Hizi protein zako zina tengenezwa nchi gani?Mass tech kilo
Moja sealed 50,000 & kilo
Moja ya kupima 45,000
IG: protein_supplemets
Wasap/call: 0713908963