Yahya Asaa JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 244 Reaction score 28 May 8, 2022 #1 Habar zenu Nahitaji prosesa i7 Gen 8 au i5 Gen8 ya dekistop Nanunua kwa bei nzuri Kama unayo namba niuzie Shukran sana kwenu
Habar zenu Nahitaji prosesa i7 Gen 8 au i5 Gen8 ya dekistop Nanunua kwa bei nzuri Kama unayo namba niuzie Shukran sana kwenu
Mr Kazembe JF-Expert Member Joined Mar 24, 2019 Posts 392 Reaction score 528 May 8, 2022 #2 agizia bro
Yahya Asaa JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 244 Reaction score 28 May 8, 2022 Thread starter #3 Ally_Kazembe said: agizia bro Click to expand... Sawa kama nitakosa nitafanya ivo
Chief-Mkwawa Platinum Member Joined May 25, 2011 Posts 32,062 Reaction score 43,480 May 8, 2022 #4 Bei nzuri kiasi gani? Nenda kariakoo Agrey na likoma mitaa ile kuna possibility kubwa ya kupata.
Yahya Asaa JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 244 Reaction score 28 May 8, 2022 Thread starter #5 Chief-Mkwawa said: Bei nzuri kiasi gani? Nenda kariakoo Agrey na likoma mitaa ile kuna possibility kubwa ya kupata. Click to expand... Sawa kaka Asante pia kwa muongozo Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa i7 ni 200,000 Vp naweza kupata kwa bei hiyo
Chief-Mkwawa said: Bei nzuri kiasi gani? Nenda kariakoo Agrey na likoma mitaa ile kuna possibility kubwa ya kupata. Click to expand... Sawa kaka Asante pia kwa muongozo Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa i7 ni 200,000 Vp naweza kupata kwa bei hiyo
Mr Kazembe JF-Expert Member Joined Mar 24, 2019 Posts 392 Reaction score 528 May 8, 2022 #6 Yahya Asaa said: Sawa kaka Asante pia kwa muongozo Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa i7 ni 200,000 Vp naweza kupata kwa bei hiyo Click to expand... sizani kamauitapata kwa bei hioo na generation unayohitaji
Yahya Asaa said: Sawa kaka Asante pia kwa muongozo Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa i7 ni 200,000 Vp naweza kupata kwa bei hiyo Click to expand... sizani kamauitapata kwa bei hioo na generation unayohitaji
becknature JF-Expert Member Joined Mar 9, 2017 Posts 701 Reaction score 890 May 9, 2022 #7 Yahya Asaa said: Sawa kaka Asante pia kwa muongozo Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa i7 ni 200,000 Vp naweza kupata kwa bei hiyo Click to expand... Hizi si bei za tecno mkuu Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu.
Yahya Asaa said: Sawa kaka Asante pia kwa muongozo Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa i7 ni 200,000 Vp naweza kupata kwa bei hiyo Click to expand... Hizi si bei za tecno mkuu Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu.
Yahya Asaa JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 244 Reaction score 28 May 9, 2022 Thread starter #8 becknature said: Hizi si bei za tecno mkuu Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu. Click to expand... Haiwezekani mkuu bei iyo uwongo
becknature said: Hizi si bei za tecno mkuu Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu. Click to expand... Haiwezekani mkuu bei iyo uwongo
Yahya Asaa JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 244 Reaction score 28 May 9, 2022 Thread starter #9 becknature said: Hizi si bei za tecno mkuu Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu. Click to expand... Inawezekana bei niliotowa mimi ikawandogo kidogo lakini na kwa bei uliotowa wewe ni kubwa mnoo haiwezekani iyo ni bei ya mashine nzima iyo
becknature said: Hizi si bei za tecno mkuu Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu. Click to expand... Inawezekana bei niliotowa mimi ikawandogo kidogo lakini na kwa bei uliotowa wewe ni kubwa mnoo haiwezekani iyo ni bei ya mashine nzima iyo
Bsyotyo JF-Expert Member Joined Apr 20, 2022 Posts 617 Reaction score 1,011 May 9, 2022 #10 Yahya Asaa said: Inawezekana bei niliotowa mimi ikawandogo kidogo lakini na kwa bei uliotowa wewe ni kubwa mnoo haiwezekani iyo ni bei ya mashine nzima iyo Click to expand... Nahisi hajakuelewa. Yeye anahisi unataka PC nzima.
Yahya Asaa said: Inawezekana bei niliotowa mimi ikawandogo kidogo lakini na kwa bei uliotowa wewe ni kubwa mnoo haiwezekani iyo ni bei ya mashine nzima iyo Click to expand... Nahisi hajakuelewa. Yeye anahisi unataka PC nzima.
Yahya Asaa JF-Expert Member Joined Sep 22, 2013 Posts 244 Reaction score 28 May 9, 2022 Thread starter #11 Bsyotyo said: Nahisi hajakuelewa. Yeye anahisi unataka PC nzima. Click to expand... Labda hajaelewa maana dah kwa bei iyo hatari mkuu nusura simu inianguke
Bsyotyo said: Nahisi hajakuelewa. Yeye anahisi unataka PC nzima. Click to expand... Labda hajaelewa maana dah kwa bei iyo hatari mkuu nusura simu inianguke