Prosesa i7 Gen8

Yahya Asaa

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2013
Posts
244
Reaction score
28
Habar zenu

Nahitaji prosesa i7 Gen 8 au i5 Gen8 ya dekistop
Nanunua kwa bei nzuri
Kama unayo namba niuzie

Shukran sana kwenu
 
Bei nzuri kiasi gani? Nenda kariakoo Agrey na likoma mitaa ile kuna possibility kubwa ya kupata.
 
Bei nzuri kiasi gani? Nenda kariakoo Agrey na likoma mitaa ile kuna possibility kubwa ya kupata.
Sawa kaka
Asante pia kwa muongozo
Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa
i7 ni 200,000
Vp naweza kupata kwa bei hiyo
 
Sawa kaka
Asante pia kwa muongozo
Bei yangu kwa i5 ni 150,000 na kwa
i7 ni 200,000
Vp naweza kupata kwa bei hiyo
Hizi si bei za tecno mkuu
Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu.
 
Hizi si bei za tecno mkuu
Kwa ushauri generation unazo zitaka andaa 900k kwenda juu.
Inawezekana bei niliotowa mimi ikawandogo kidogo lakini na kwa bei uliotowa wewe ni kubwa mnoo haiwezekani iyo ni bei ya mashine nzima iyo
 
Inawezekana bei niliotowa mimi ikawandogo kidogo lakini na kwa bei uliotowa wewe ni kubwa mnoo haiwezekani iyo ni bei ya mashine nzima iyo
Nahisi hajakuelewa. Yeye anahisi unataka PC nzima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…