Mchoraji Cyper255
JF-Expert Member
- Nov 21, 2012
- 1,758
- 6,087
Watu wanaliwa sana na hizi dini za siku hiziLeo, Nabii Shepherd Bushiri amenunua Jumba la Kifahari lenye thaman ya US$ 12 Million, Sawa na Tsh. Billion 27.6.
Chanzo: Popular Zimbabwean Pastor Prophet Shepherd Bushiri Acquires New $12million Mansion(PHOTOS) ~ Welcome To Trezzy Helm
Kwanini watu wanalalamika sana.
Je, Ni dhambi kwa Watumishi wa Mungu kumiliki Mali? Na Je, Utajiri ni kwa Waumini tu na Wapagani?
Muwe na Jumapili njema.
sent by Samson Cyper
Na bado wanatetea kuliwa! Kweli wajinga ndiyo waliwao...Watu wanaliwa sana na hizi dini za siku hizi
Uebert Angel.Yule mwingine wa Zimbabwe Anaitwa nani? Model model hivi naye ana pesa za kumtosha Lamborghini, Ferrari, Bugati i
Kumbe ni wa Zimbabwe. Huyu hata simfuatiliagi.
Prophet Bushiri kuonana naye lazima uweke booking ya zaidi ya laki saba za kitanzania.
Anayebisha nimpe namba awapigie aseme anataka kuonana naye.
Mungu tupiganie sisi wanadamu.
Yeah exactly,Uebert Angel.
Yuko UK kwasasa ana bonge la mjumba huko.
Ili akuombee.Duh sasa kuonana nae ili iweje, yaani kuweka booking ili kumuona wa nini?
hivi wanaoonana naye kuna cha zaidi wanachofaidikaProphet Bushiri kuonana naye lazima uweke booking ya zaidi ya laki saba za kitanzania.
Anayebisha nimpe namba awapigie aseme anataka kuonana naye.
Mungu tupiganie sisi wanadamu.
Sio Mzimbabwe ni Mmalawi ila ana Kanisa Malawi na South AfricaKumbe ni wa Zimbabwe. Huyu hata simfuatiliagi.
hivi wanaoonana naye kuna cha zaidi wanachofaidikaProphet Bushiri kuonana naye lazima uweke booking ya zaidi ya laki saba za kitanzania.
Anayebisha nimpe namba awapigie aseme anataka kuonana naye.
Mungu tupiganie sisi wanadamu.
Si mmetoa wenyewe, mlilazimishwa?