PROOF: Kenyans love Tanzanian Music than Kenyan Music

kadoda11

JF-Expert Member
Jan 6, 2011
21,453
20,712
since the everlasting battle with kenyans and tanzanians is not focused in one particular subject,let's take it to the music industry.

i was in youtube conducting unofficial small research about bongofleva and east african music in general.

during my research, i discovered that majority of kenyans especially those who belong to the younger generation love tanzanian music more than they love kenyan music.

music performed by our artist,make kenyans go crazy and wild whenever they see a bongofleva music video or hear a bongofleva track.

it's for sure that,bongofleva sit at the top position of the most loved music genre in east africa.

i have generated some screenshot samples from youtube that show the authentication of my point.

it's up to kenyans to invalidate it with fact.
twende kazi.
7747a9db3d121d794f32d7c9905dbfc4.jpg
c359c36661a2ccd03dbdcdfaa5ad1f61.jpg
a072ec59cc4935fd1759038c801f3fd3.jpg
ece2b4fec5b5160b666533e0f8aa1f28.jpg
e0cfdac908f255071eca028c230eca15.jpg
76f05498e30f40c1e7bd9308b42f0119.jpg
b6f9ce502b096c5cd5697c496a8ab97d.jpg
779c305a23fbe80f3973785619c14feb.jpg
b5937b79f21f3ffe2ee757f5eecaa086.jpg
ddccc5c3fb2bc265239ee7b11575fbb2.jpg
9593f887b54f1ecf63ae66be535b75e8.jpg
fe4186bb4e4a50b08e95fd1fedc562e5.jpg
bda6b74388ee2176c574a02cbd3cf1cf.jpg
0c85d07355c7f9f2d091f41abc255f84.jpg
c4d725c2318b34eebc0881802cdc62f1.jpg
417d23a4acced47daed45609d88fae07.jpg
e408305e90e84518c6c08ab355e0f0c9.jpg
 
Nilikua kushangaa sikumoja Radio moja ya Kenya ndani ya masaa 2 Wamepiga nyimbo 2zakenya 10 Nigeria na 7 Tanzania
hahaha nikasema kumbe hata wao wanajijua Hovyo kwenye Music
inatia huruma sana kaka...imagine hata madj wao hawapendi kucheza miziki ya kikenya kwenye local radio zao na nightclub zao.SMH.
 
Sikiliza Kitu kutoka kwa Dogo
ujue kabisa Bongo ina vipaji mtu akiimba kuhusu Mapenzi kubembeleza kweli Mashairi yanatulia



Njoo kwa wenzetu eti DAWA YAMOTO NI MOTO HAHAHA Kuna vita music sio vita mdundo mkuubwa mashairi Ziro


Dawa ya moto ni moto. Hii hapa. Wakenya wana vituko sana.



Yaani badala ya kucheza unajikuta tu ghafla umeingiwa na hofu maana mda wowote club inaweza waka moto.
 
ukiachilia mziki,pia wakenya wanavutiwa sana na wanamuziki wa kitz kushinda wanamziki wa kikenya.

darasa's interview in one of the popular tv station in Kenya

827cec3b6ca6feed206b10fe96e49fd2.jpg
 
binafsi nawakubali sana wasanii wa bongo...infact im my playlist niko na nyimbo kibao sana za wabongo...but naomba nikukosoe..kenyan favourite music ni reggae,riddim,mavitu ya kina wizkid wale..rap music za kina eminem na zile hiphop..but kama kawaida unaporejea nyumbani ukapiga shawa uko pale umetulia lazima uskize wimbo ambao utakuliwaza..yaani wimbo soft wenye kubembeleza flani hivi..na ndio nyimbo za bongo hizo..yeah..hongera kwa wasanii wa bongo mnakubalika kote east africa..
 
binafsi nawakubali sana wasanii wa bongo...infact im my playlist niko na nyimbo kibao sana za wabongo...but naomba nikukosoe..kenyan favourite music ni reggae,riddim,mavitu ya kina wizkid wale..rap music za kina eminem na zile hiphop..but kama kawaida unaporejea nyumbani ukapiga shawa uko pale umetulia lazima uskize wimbo ambao utakuliwaza..yaani wimbo soft wenye kubembeleza flani hivi..na ndio nyimbo za bongo hizo..yeah..hongera kwa wasanii wa bongo mnakubalika kote east africa..
kwa upande wa mziki unao toka nje ya bara la Africa,wakenya hususani "mayuthi" wanapendanga sana jamaican riddim.hilo halina ubishi.
you can even observe that through the music played in matatus.
mariddim ndio wanapendanga sana.
 
kwa upande wa mziki unao toka nje ya bara la Africa,wakenya hususani "mayuthi" wanapendanga sana jamaican riddim.hilo halina ubishi.
you can even observe that through the music played in matatus.
mariddim ndio wanapendanga sana.
ni vigumu sana kuskia nyimbo laini katika magari ya usafiri..but kwa sababu ya neema za safari waweza kuskia nyimbo za kina shusho katika magari ya masafa kama vile kutoka nakuru hadi nairobi au kwingineko..
 
ni vigumu sana kuskia nyimbo laini katika magari ya usafiri..but kwa sababu ya neema za safari waweza kuskia nyimbo za kina shusho katika magari ya masafa kama vile kutoka nakuru hadi nairobi au kwingineko..
that one is very true bro.hasa zile matutu za buru58,ni ngumu sana kusikia soft music.the music played is very loud and has some element of hardcore...wale watu PB na tuberculosis zile matatu haziwafai.
 
magari yote ya uchukuzi jijini Nairobi ni vigumu kabisa..competition iko very high na ndiyo sababu kila mtu anafanya anything possible kujipatia wateja..kati ya mambo mengi ya mnato wanayoyafanya ni mziki..yani lazima gari liwe na muziki mzito tena wenye kuwachangamsha wateja maana walizoea midundo kama hiyo...
 
Back
Top Bottom