Pronunciation hii mmmh !

Judgement

JF-Expert Member
Nov 13, 2011
10,327
4,779
Halow ! My fellow Jf Membars.
THE PRODUCTION OF THE SOUND OF SPEECH .
Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini.
Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'Juice na vijibajia viwili-vitatu then nichape lapa na mishimishe zangu.
Pembeni yangu meza jirani nimewakuta wadada wa3 , madada ambao wanaongea sana kuliko ya kilichowapeleka pale (kula na kunywa).
Kwakua mi katika meza yangu, sikua na waku'share nae, hivyo hao wadada ndiyo wakawa Redio, Tv yangu.
Nikamsikia mmojawao akisema ;-
"Aisey yule mkaka mnajua keshaniangukia sana !
Alafu yule mkaka yuko lisonable (Resonable) sana!
Ukimdipu (ukim'beep) tu anakupigia, tena kila siku razima (lazima) anitumie cledit (credit) .
Tena hana hasila (hasira) sevelo times (several) mkaka ni mtu wa smire (smile) .
In short kwangu mie japo si muingereza lakini uongeaji huu hua unatia kichefuchefu kupita sana.
Hapa majukwaani Jf tatizo hili pia limeshamiri so many membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.
 
Halow ! My fellow Jf Membars.

membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.


hata wewe hapo juu umechemka.

Ila inakera sana 'l' na 'r' zinapotumika sivyo. Au kwenye 'm' inawekwa 'mu'

sema inabidi kupotezea kuna makabila hayana 'l' na 'r' au wanatumie ndivyo sivyo.

Lakini kazi inakuwa pale mtu anapolazimisha kiingereza wakati kiswahili tu mgogoro.
 
Sijakuelewa vizuri hapo walikuwa wanazungumza kwa maandishi au?maana ulichokiandika ni cha kimaandishi zaidi.
 
hata wewe hapo juu umechemka.

Ila inakera sana 'l' na 'r' zinapotumika sivyo. Au kwenye 'm' inawekwa 'mu'

sema inabidi kupotezea kuna makabila hayana 'l' na 'r' au wanatumie ndivyo sivyo.

Lakini kazi inakuwa pale mtu anapolazimisha kiingereza wakati kiswahili tu mgogoro.

Nashukuru kwa kunirekibisha namie, hivyo ndivyo tutakavyomudu kuelimishana. Tukipotezeana tutaendelea kudumaza, capacity za uelewa wetu.
 
ha ha haaaaaaa, huku kwetu Znz kuna company 1 inaitwa brac basi kuna dada m1 alikua ananiulizia ilipo kwa kutamka blac badala ya brac, It took me ages to understand her mana mi nljua anakusudia black colour
 
halow ! My fellow jf membars.
The production of the sound of speech .
Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini.
Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'juice na vijibajia viwili-vitatu then nichape lapa na mishimishe zangu.
Pembeni yangu meza jirani nimewakuta wadada wa3 , madada ambao wanaongea sana kuliko ya kilichowapeleka pale (kula na kunywa).
Kwakua mi katika meza yangu, sikua na waku'share nae, hivyo hao wadada ndiyo wakawa redio, tv yangu.
Nikamsikia mmojawao akisema ;-
"aisey yule mkaka mnajua keshaniangukia sana !
Alafu yule mkaka yuko lisonable (resonable) sana!
Ukimdipu (ukim'beep) tu anakupigia, tena kila siku razima (lazima) anitumie cledit (credit) .
Tena hana hasila (hasira) sevelo times (several) mkaka ni mtu wa smire (smile) .
In short kwangu mie japo si muingereza lakini uongeaji huu hua unatia kichefuchefu kupita sana.
Hapa majukwaani jf tatizo hili pia limeshamiri so many membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.

mawazo yako ni mazuri sana. Lakini lazima ujue kwa mzungumzaji ambaye lugha anayozungumza si lugha yake ya kwanza (lugha mama) mara nyingi tegemea ataijeruhi. Kimsingi si vema kutumia lugha usiyokuwa na umilisi nayo hasa kama muktadha haulazimishi kutumia lugha hiyo. Kwa mafano ndugu yangu angalia kosa ulilolitenda: Umeandika "... So many membars..." badala ya "...so many members...". hivyo wakati mwingine tunawapotezea tu kwasababu ujumbe wanaokusudia unakuwa umefika.
 
mawazo yako ni mazuri sana. Lakini lazima ujue kwa mzungumzaji ambaye lugha anayozungumza si lugha yake ya kwanza (lugha mama) mara nyingi tegemea ataijeruhi. Kimsingi si vema kutumia lugha usiyokuwa na umilisi nayo hasa kama muktadha haulazimishi kutumia lugha hiyo. Kwa mafano ndugu yangu angalia kosa ulilolitenda: Umeandika "... So many membars..." badala ya "...so many members...". hivyo wakati mwingine tunawapotezea tu kwasababu ujumbe wanaokusudia unakuwa umefika.

Nimekuelewa mkuu, but kuna spell error (kama ulioitoa kwangu) na kuna pronunciation error ! Hizi writin' error hazikeri sana (kero yake ni minor)
error za matamshi kimimi ndiyo hunipa kichefchef.
 
Halow ! My fellow Jf Membars.
THE PRODUCTION OF THE SOUND OF SPEECH .
Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini.
Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'Juice na vijibajia viwili-vitatu then nichape lapa na mishimishe zangu.
Pembeni yangu meza jirani nimewakuta wadada wa3 , madada ambao wanaongea sana kuliko ya kilichowapeleka pale (kula na kunywa).
Kwakua mi katika meza yangu, sikua na waku'share nae, hivyo hao wadada ndiyo wakawa Redio, Tv yangu.
Nikamsikia mmojawao akisema ;-
"Aisey yule mkaka mnajua keshaniangukia sana !
Alafu yule mkaka yuko lisonable (Resonable) sana!
Ukimdipu (ukim'beep) tu anakupigia, tena kila siku razima (lazima) anitumie cledit (credit) .
Tena hana hasila (hasira) sevelo times (several) mkaka ni mtu wa smire (smile) .
In short kwangu mie japo si muingereza lakini uongeaji huu hua unatia kichefuchefu kupita sana.
Hapa majukwaani Jf tatizo hili pia limeshamiri so many membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.

Ebu cheki na wewe huko
Membars au members? Members haina 'a' wewe, na wewe ni mshamba kama hao wadada wako tu. Jipange sawa sawa
 
Kwa hiyo tupronounce kama nani?kumbaf kabisa mie mbantu sirembi bwn kwetu hakuna 'l' kuna 'r' na kama hutaki kaa kimya.nakwenda kurara mura
 
hili ni tatizo sugu,hata baadhi ya watangazaji wa siku hizi wa redio na tv utasikia wanatamka visivyo,tusaidiane tu kurekebishana ingawa baadhi ya watu hawapendi wanasema hawawezi kubadilika kwa sababu tangu utotoni wanaongea hivyo.
 
Kwa hiyo tupronounce kama nani?kumbaf kabisa mie mbantu sirembi bwn kwetu hakuna 'l' kuna 'r' na kama hutaki kaa kimya.nakwenda kurara mura

Mh. Mi-hasira yote ya nini ? Hata hivyo wengi wanaokwenda lala na mihasira ni wale wanaolala peke yao, mwenza kwishney !
 
hata wewe hapo juu umechemka.

Ila inakera sana 'l' na 'r' zinapotumika sivyo. Au kwenye 'm' inawekwa 'mu'

sema inabidi kupotezea kuna makabila hayana 'l' na 'r' au wanatumie ndivyo sivyo.

Lakini kazi inakuwa pale mtu anapolazimisha kiingereza wakati kiswahili tu mgogoro.

nimekupata mkuu.
Kuhusu 'r' na 'l' kweli ni makosa, isipokuwa kwa baadhi ya maneno ambayo yana dialectal multi pronounciation, au alofoni za kilahaja, mfano 'kulamba' na 'kuramba'.
Kuhusu 'm' na 'mu', wala hakuna makosa hapo, hicho ni Kiswahili fasaha, hasa lahaja za pwani ya Afrika Mashariki na lahaja ya Kingwana inayopatika Mashariki mwa Kongo.
Note tafauti kati ya usanifu na ufasaha, lugha inaweza kuwa fasaha lakini isiwe sanifu.
 
Halow ! My fellow Jf Membars.
THE PRODUCTION OF THE SOUND OF SPEECH .
Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini.
Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'Juice na vijibajia viwili-vitatu then nichape lapa na mishimishe zangu.
Pembeni yangu meza jirani nimewakuta wadada wa3 , madada ambao wanaongea sana kuliko ya kilichowapeleka pale (kula na kunywa).
Kwakua mi katika meza yangu, sikua na waku'share nae, hivyo hao wadada ndiyo wakawa Redio, Tv yangu.
Nikamsikia mmojawao akisema ;-
"Aisey yule mkaka mnajua keshaniangukia sana !
Alafu yule mkaka yuko lisonable (Resonable) sana!
Ukimdipu (ukim'beep) tu anakupigia, tena kila siku razima (lazima) anitumie cledit (credit) .
Tena hana hasila (hasira) sevelo times (several) mkaka ni mtu wa smire (smile) .
In short kwangu mie japo si muingereza lakini uongeaji huu hua unatia kichefuchefu kupita sana.
Hapa majukwaani Jf tatizo hili pia limeshamiri so many membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.
Asante judgement kwa kunisaidia maana hata mimi nilikuwa na wazo la kuanzisha thread kuhusu matumizii ya 'l' na 'r' hasa hapa JF. Wapo wanaJF wanaandika 'amli' badala ya 'amri' 'fulaha' badala ya 'furaha' nk. kiasi kwamba napata wazo pengine wanaJF wengi wanatoka mikoa ya Tabora, Shinyanga, na kanda ya ziwa victoria kwa sababu wenyeji wa maeneo haya huchanganya sana 'l' na 'r'

Ila iwapo mtu ni msomi, inatakiwa uwe mwangalifu kwenye mtego huu.Kinachonishangaza na kunikera ni hizo herufi mbili kutumika visivyo HAPA JF! Tuitendee lugha yetu ya Kiswahili haki.
 
Back
Top Bottom