Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Halow ! My fellow Jf Membars.
THE PRODUCTION OF THE SOUND OF SPEECH .
Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini.
Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'Juice na vijibajia viwili-vitatu then nichape lapa na mishimishe zangu.
Pembeni yangu meza jirani nimewakuta wadada wa3 , madada ambao wanaongea sana kuliko ya kilichowapeleka pale (kula na kunywa).
Kwakua mi katika meza yangu, sikua na waku'share nae, hivyo hao wadada ndiyo wakawa Redio, Tv yangu.
Nikamsikia mmojawao akisema ;-
"Aisey yule mkaka mnajua keshaniangukia sana !
Alafu yule mkaka yuko lisonable (Resonable) sana!
Ukimdipu (ukim'beep) tu anakupigia, tena kila siku razima (lazima) anitumie cledit (credit) .
Tena hana hasila (hasira) sevelo times (several) mkaka ni mtu wa smire (smile) .
In short kwangu mie japo si muingereza lakini uongeaji huu hua unatia kichefuchefu kupita sana.
Hapa majukwaani Jf tatizo hili pia limeshamiri so many membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.
THE PRODUCTION OF THE SOUND OF SPEECH .
Niko katika cafeteria maarufu hapa mjini.
Nimeingia humu kwa shabaha ya kupata ka'gilasi ka'Juice na vijibajia viwili-vitatu then nichape lapa na mishimishe zangu.
Pembeni yangu meza jirani nimewakuta wadada wa3 , madada ambao wanaongea sana kuliko ya kilichowapeleka pale (kula na kunywa).
Kwakua mi katika meza yangu, sikua na waku'share nae, hivyo hao wadada ndiyo wakawa Redio, Tv yangu.
Nikamsikia mmojawao akisema ;-
"Aisey yule mkaka mnajua keshaniangukia sana !
Alafu yule mkaka yuko lisonable (Resonable) sana!
Ukimdipu (ukim'beep) tu anakupigia, tena kila siku razima (lazima) anitumie cledit (credit) .
Tena hana hasila (hasira) sevelo times (several) mkaka ni mtu wa smire (smile) .
In short kwangu mie japo si muingereza lakini uongeaji huu hua unatia kichefuchefu kupita sana.
Hapa majukwaani Jf tatizo hili pia limeshamiri so many membars wanajeruhi lugha zote tunazozitumia hapa, lakini membars ama wanafumbiana macho ama wanaoneana aibu kukosoana na kurekibishana mimi sijui.