FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
Wapwazz na Binamuz salam ziwafikie
Tumebaki na takribani siku 5 kijana Geoff akafunge pingu za maisha (si pingu za Jerry Muro lakini msinisome vibaya).
Plan imekaaje??? mi sielewi tena Geoff tunafanyaje
Kaizer mratibu mkuu na wenzio tunafanyaje??
Msaada tutani tafadhali.
JS dear plan mbona hazina utata kabisa
swala zima wadau waleeeee mkae pamoja mkubaliane ni zawadi gani anapewa binamu ..na kama kuna watu wataenda kuwakilisha ...ni vijimambo tu vya kuwekana sawa ..Kwani Kaizer yuko wapi jamani??