Project Management and Evaluation

Project Management and Evaluation

usatz

Member
Joined
Sep 4, 2016
Posts
96
Reaction score
45
Waku Habarini

Mwenye kujua chuo kizuri na chenye unafuu kwenye Ada, naomba anisaidie.

Nataka kufanya Project Management, Course, ie, PMP, PrinceII
 
UDOM panakufaa zaidi kwahyo PM course, na pia ada ni nafuu
 
Waku Habarini

Mwenye kujua chuo kizuri na chenye unafuu kwenye Ada, naomba anisaidie.

Nataka kufanya Project Management, Course, ie, PMP, PrinceII
Hujatoa taarifa za kutosha. Level gani? Certification au degree/diploma.
 
UDOM panakufaa zaidi kwahyo PM course, na pia ada ni nafuu
Hivi UDOM gharama nafuu kivipi? Juzi nimeangalja Msc za engineering kuna kozi zinachezea 8mil wakati pale ARU kozi hiyo hiyo ni around 4.5mil?
 
MPM, hii inpatikana ukishakua na experience ya project management au Bachelor degree in project management na experience ya miaka miwili.

PRINCE2 siyo lazima uwe na experience ya mda wote huo miaka miwili lakini uwe na Foundation ya PRINCE2 methodology.
NB; Hizi ni methodologies tu japo moja preferred Uingereza na nyingine USA na nchi zingine. In Africa bado hatujajielewa tunatumia njia zipi kuhakikisha miradi inafanikiwa.

Currently, Chuo kizuri kwa course hii tua Mipango pale ukasome cost ni 1,2,30,000
Kwa mwaka utasoma miaka mitatu. Kisha ukimaliza akili itakukaa sawa kuendleea na mambo mengine.
IMG-20221021-WA0013.jpg
Screenshot_20221006-100538.jpg
 
Waku Habarini

Mwenye kujua chuo kizuri na chenye unafuu kwenye Ada, naomba anisaidie.

Nataka kufanya Project Management, Course, ie, PMP, PrinceII
Naona watu wengi wamejibu lakini sidhani kama mliweza kuelewana. Pengine haujakuwa clear unataka nini hasa.

Je unataka masters? Post graduate diploma au unataka certifications? Kama ni masters na postgraduate diploma basi tafuta vyuo hapa tz ukasome.

Kama ni PMP ya PMI au Prince II basi hapo ni kwamba unataka professional certifications. Kwa PMP unaweza kucheki online upate wale mawakala walioidhinishwa kufundisha na watakupa cheti.

Hapo sasa ndio unatakiwa usome sana sana mpaka uweze kuwa tayari kufanya mtihani. Utawacheki pia prepcast kwa ajili ya maandalizi. Pia kuna chuo pale posta DSM kinaitwa TIPM wanafundisha kama mawakala, unaweza kuwasiliana nao.

Kuhusu Prince II jaribu kucheki procedure online maana mimi sijawahi kusoma hiyo, ninayo PMP tu.
 
Back
Top Bottom