Project funding sources

tujenge utamaduni wa kurejesha UPDATE za proposal mbalimbali ambazo wadau waliwahi kuziainisha kipindi cha nyuma
 
Mkuu
watu wa Oxfarm wanatoa funds kwa projects kama yako. wameshafadhili na kuendeleza miradi kadhaa afrika hivyo usisite kuwatafuta.

mimi nina knowledge ya fairtrade ambapo kama ukitaka tuition na contacts usiogope kuwasiliana.
Mkuu upo??
 
Habari za siku,
ndugu yangu upo?
 
Hope it is well there!
Uliichochea sana hamasa nikakamata msitu kusini huko nahifadhi uasili nasubiria pensheni miaka kadhaa ijayo!!!
Mungu akutunze.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru,
Mungu awe nawe pia. Na mimi naendelea kuweka pensheni yangu misituni mkuu, maana kikokotoo kimegoma kabisa,karibu. Bila shaka umepiga eka za kutosha.
 
Habari za jioni
Naomba kujua kama zipo banks au other private financial institutions ambazo zinatoa mikopo kwaajili ya poultry projects.
 

This is interesting!
JamiiForums is a life changer!
Nitafurahi kusikia mrejesho wa hii biashara! Let me scroll down the thread!
 
Thanx mkuu. Nadhani mpaka mwaka ujao mtakuwa tayari mmeanza rasmi.
Kwa taarifa nilizopata kilimo cha kitaalamu, hekta moja inazalisha hadi tani thelathini.
Nimepata shamba eneo fulani hapo pwani. Mkuu usichoke kutujuza maendeleo.
Thanx
Tofauti kati ya hekta na hekari ni ipi?
 
Kuna source moja ya grant twaweza karibu kuona kama tunaweza kupata grant nicheki kwenye namba hiyo tuwasiliane 0682866788 au 0652809292
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…