.,.jarbu kutumia python
nimekupata mkuu...na mimi mpaka kuleta uzi hapa ni kwamba zimenchanganya!!! na kama umeusoma uzi wangu ni kwamba si mtaalamu ila nimevutiwa na hii field!! labda kama utafafanua ili iwe kwa manufaa ya wengine pia....kila programming language imetengenezwa kufanya kazi fulani kwa hiyo inabidi wewe uwe specifi unataka kufanya programming ya vitu gani then utapata mwazo..
Nakumbuka kipindi naanza kujifunza programming kwa mara ya kwanza nilichanganyikiwa manake nilikuwa na list ya language nyingi sana na kila language ina-clain kuwa ni easy to learn na powerful lakini badaye nligundua madhaifu na ubora wa language hizo then nikafanya uamuzi.
Cha msingi elewa kwanza unataka kufanya nini then utapewa language zinazoweza kufanya hayo unayotaka halafu fuatilia review then fanya uamuzi.
nimekupata mkuu...na mimi mpaka kuleta uzi hapa ni kwamba zimenchanganya!!! na kama umeusoma uzi wangu ni kwamba si mtaalamu ila nimevutiwa na hii field!! labda kama utafafanua ili iwe kwa manufaa ya wengine pia....
nimekupata mkuu!!! lakini kuanza c sharp haitaitaji knowledge ya c na c++?? naomba mchango wako!!!Html sio programming language ni kweli.
Mimi nakushauri uanze na C#, ni modern, object oriented, kwa sababu ya Visual Studio unaweza kusetup environment kirahisi na pia kutengeneza program zenye GUI kirahisi. So install Visual Studio Express kisha nakushauri utafute kitabu kinaitwa Head First C#.
Anza na java direct...... Maana ukijua java itakuwa rahisi kujua c++ na c# maana utofautiana tu kwenye ku declare...... Mimi nilianza C++ na kwa sasa nimefuatia Java...... Ila naona yote sawa.... Java inaadvantages nyingi kuliko language yoyote ile....... Android wanatumia java kwa applications zake, na mi application nyingi za simu , windows na linux na websites nyingi utumia java(applets)...