Hivi hapa unamaanisha maneno mfano ya kiswahili au kingereza yanayoshare herufi
Mfano
Mali na Lima
Ashura na Arusha
Item na mtei
Huu ni mfano tu najaribu kuona kama nimeipata point yako.Yaani mfano likichukuliwa Neno la kiswahili kwente database,application itoe maneno mengine tuseme ya kiswahili yanayoundwa na herufi za hilo neno la kiswahili .Katika orodha ya hayo maneno tuangalie ni neno lipi linalotumika kwenye lugha yetu ya kiswahili.Sijui ndio hivi unamaanisha mkuu