Habarini za wakati huu...!
Mdogo wangu amepata multiple selection ktk third round iliyotolewa na TCU, programme alizochaguliwa n km ifuatavyo;
1. Bachelor of science in molecular biology and biotechnology. (UDSM).
2. Bachelor of science in food science (SUA).
Mosi, naomba kuuliza kwa wenye uzoefu wa wa course hizo je n course ipi itamfaa huyu dogo?
Pili, naomba kufahamu hizi n course zinazohusiana na masuala yapi?
Tatu, naomba kufahamu pia hali ya upatikanaji wa ajira pamoja na fursa zngne kwa course hizo.
Karbuni kwa msaada.
Mdogo wangu amepata multiple selection ktk third round iliyotolewa na TCU, programme alizochaguliwa n km ifuatavyo;
1. Bachelor of science in molecular biology and biotechnology. (UDSM).
2. Bachelor of science in food science (SUA).
Mosi, naomba kuuliza kwa wenye uzoefu wa wa course hizo je n course ipi itamfaa huyu dogo?
Pili, naomba kufahamu hizi n course zinazohusiana na masuala yapi?
Tatu, naomba kufahamu pia hali ya upatikanaji wa ajira pamoja na fursa zngne kwa course hizo.
Karbuni kwa msaada.