OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,199
- 103,733
Mganda Okwi mwenye umri wa miaka 26 amesani Simba SC kandarasi ya miaka miwili jana, taarifa zinadokeza hivyo.
Okwi ambaye yupo kwenye kikosi cha kwanza timu ya Taifa ya Uganda kama mshambuliaji, amemshukuru Mohamed Dewji kwa kusimama kidete kuhakikisha anafanikisha dili hilo.
Okwi amewaahidi mashabiki wa Simba kuwa wasubiri kazi nzito toka kwake, na amewashukuru kwa kumuamini
Okwi ambaye yupo kwenye kikosi cha kwanza timu ya Taifa ya Uganda kama mshambuliaji, amemshukuru Mohamed Dewji kwa kusimama kidete kuhakikisha anafanikisha dili hilo.
Okwi amewaahidi mashabiki wa Simba kuwa wasubiri kazi nzito toka kwake, na amewashukuru kwa kumuamini