jimmyjames09
Member
- Nov 30, 2019
- 11
- 7
Ukipewa coaster haufanyi kazi mkuu ama hiaceHabari! Jina langu naitwa James Patrick nina miaka 24. Naishi Kunduchi, Dar es salaam. Elimu yangu mimi ni kidato cha nne na tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana magari.
Kwa sasa fani yangu ni udereva ambao nimeanza tokea 2014, na nimefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu, kitu ambacho najivunia na ninajiona nina utofauti na madereva wengine.
- Najua kuandika na kuongea Kiingereza vizuri kabisa.
- Nina uwezo wa kuelewa jambo kwa haraka sana na kulifanya kwa wepesi sana
- Napenda usafi kwa hiyo muda wote chombo changu lazima kiwe safi na chenye kunukia vizuri sana
- Najua maeneo mengi sana hapa jijini Dar es Salaam kwa sababu nimekuwa dereva Uber kwa miaka 3 huku nikifikisha trip zaidi ya 3000
- Ni kijana mwaminifu sana na mwenye hofu ya Mungu.
Kwa mwenye kuhitaji dereva mwenye sifa kama hizo na atapenda kushuhudia kwa macho basi anitafute kwa namba hizi:
0758659261
Au email: jpmkwabi08@gmail.com
Note: Kazi ya udereva kwa ajili ya ofisini, mtu binafsi, tours, na Uber pia.
Shukrani
nina bint yangu wa kike age 21 chuchu saa 6 kiuno kama dondola rangi ya mtume, nikupe kaz ya kumuendesha endesha? uki mess up miaka 30 itakuhusuHabari! Jina langu naitwa James Patrick nina miaka 24. Naishi Kunduchi, Dar es salaam. Elimu yangu mimi ni kidato cha nne na tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana magari.
Kwa sasa fani yangu ni udereva ambao nimeanza tokea 2014, na nimefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu, kitu ambacho najivunia na ninajiona nina utofauti na madereva wengine.
- Najua kuandika na kuongea Kiingereza vizuri kabisa.
- Nina uwezo wa kuelewa jambo kwa haraka sana na kulifanya kwa wepesi sana
- Napenda usafi kwa hiyo muda wote chombo changu lazima kiwe safi na chenye kunukia vizuri sana
- Najua maeneo mengi sana hapa jijini Dar es Salaam kwa sababu nimekuwa dereva Uber kwa miaka 3 huku nikifikisha trip zaidi ya 3000
- Ni kijana mwaminifu sana na mwenye hofu ya Mungu.
Kwa mwenye kuhitaji dereva mwenye sifa kama hizo na atapenda kushuhudia kwa macho basi anitafute kwa namba hizi:
0758659261
Au email: jpmkwabi08@gmail.com
Note: Kazi ya udereva kwa ajili ya ofisini, mtu binafsi, tours, na Uber pia.
Shukrani
Ukipewa coaster haufanyi kazi mkuu ama hiace
kama ni hiace ina namba nyeupe siwezi boss !lakni kama namba ya njano tuwasiliane boss.namba zangu hizo hapo
shida yangu ni kazi na sio hayo mengine asante.nina bint yangu wa kike age 21 chuchu saa 6 kiuno kama dondola rangi ya mtume, nikupe kaz ya kumuendesha endesha? uki mess up miaka 30 itakuhusu
kama ni namba nyeupe siwez kufanya .lakini kama namba ya njano.tuongee biasharaUkipewa coaster haufanyi kazi mkuu ama hiace
muomba kaz una jeur mbona?shida yangu ni kazi na sio hayo mengine asante.
Gari za tour na uber zina plate no. za rangi ya gani mkuu?kama ni namba nyeupe siwez kufanya .lakini kama namba ya njano.tuongee biashara
zina plate namba nyeupe .lakin mm wakat nafanya uber gari yangu ilikuwa namba ya njano.na pia wakati nafanya tours pia pale budget plate namba ilikuwa ya njano..nimesema hvyo kwa sababu leseni yangu airuhusu kuendesha namba nyeupe mkuuGari za tour na uber zina plate no. za rangi ya gani mkuu?
hahahahaha sina uhakika kama unaniambia mm au mtu mwingine..lakn kama ni mm nilisema siwezi kuendesha kwa sababu leseni yangu airuhusu namba nyeupe ni njano tu.kwahiyo kama ni hiace basi iwe namba ya njano..kuhusu maswala ya kula na kulala hayo ni mambo ya mwenyezi mungu tumuachie yeyeUlivyojibu nikarudi kuangalia umri wako. Sio kosa lako ila ni Ishi ya muda haya Maneno yako utayajutia ama utayakumbuka. Nina imani utakuwa una pa kulala na kula kulipia.
Namie Nilikuwa ivyo ivyo
hahahahaha sina uhakika kama unaniambia mm au mtu mwingine..lakn kama ni mm nilisema siwezi kuendesha kwa sababu leseni yangu airuhusu namba nyeupe ni njano tu.kwahiyo kama ni hiace basi iwe namba ya njano..kuhusu maswala ya kula na kulala hayo ni mambo ya mwenyezi mungu tumuachie yeye
natafuta kazi ili nipate pesa nimtolee yeye sadaka kama shukrani pia kwa yote anayotenda kwangu!! na kingine unatakiwa ujue unapoomba msaada lazima na ww uonyeshe juhudi.sio ukae tu!.Kama kula na kulala aachiwe Mungu kwa nini unatafuta kazi?
Nimekuelewa mkuu!zina plate namba nyeupe .lakin mm wakat nafanya uber gari yangu ilikuwa namba ya njano.na pia wakati nafanya tours pia pale budget plate namba ilikuwa ya njano..nimesema hvyo kwa sababu leseni yangu airuhusu kuendesha namba nyeupe mkuu
Ukipewa coaster haufanyi kazi mkuu ama hiace
Ukipewa coaster haufanyi kazi mkuu ama hiace
Ukipewa coaster haufanyi kazi mkuu ama hiace
Nipe mimi nina leseni kubwa c kavu na chet cha nit uzoefu miaka 8Nipe mimi
Umejieleza vizuri sana.Habari! Jina langu naitwa James Patrick nina miaka 24. Naishi Kunduchi, Dar es salaam. Elimu yangu mimi ni kidato cha nne na tokea nikiwa mdogo nilikuwa napenda sana magari.
Kwa sasa fani yangu ni udereva ambao nimeanza tokea 2014, na nimefanya kazi kwenye kampuni nyingi tu, kitu ambacho najivunia na ninajiona nina utofauti na madereva wengine.
- Najua kuandika na kuongea Kiingereza vizuri kabisa.
- Nina uwezo wa kuelewa jambo kwa haraka sana na kulifanya kwa wepesi sana
- Napenda usafi kwa hiyo muda wote chombo changu lazima kiwe safi na chenye kunukia vizuri sana
- Najua maeneo mengi sana hapa jijini Dar es Salaam kwa sababu nimekuwa dereva Uber kwa miaka 3 huku nikifikisha trip zaidi ya 3000
- Ni kijana mwaminifu sana na mwenye hofu ya Mungu.
Kwa mwenye kuhitaji dereva mwenye sifa kama hizo na atapenda kushuhudia kwa macho basi anitafute kwa namba hizi:
0758659261
Au email: jpmkwabi08@gmail.com
Note: Kazi ya udereva kwa ajili ya ofisini, mtu binafsi, tours, na Uber pia.
Shukrani