marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,092
- 1,917
Wafanya biashara na wajasiria mali wengi Tanzania wanashindwa kutumia au wana chukulia wepesi kiungo hiki muhimu kwenye biashara na kampuni
unapojitanabaisha kuwa wewe ni kampuni au biashara suala la digital branding ni muhimu sana hasa nyakati hizi za digitalisation
Professional/Businesse email ni zipi..
hizi ni email zenye domain ya kampuni au biashara yako.
badaya ya kutumia email ya > jumamgunda@gmail.com basi inakua info@jumastore.com
hii hukuongezea uaminifu kwawateja pia ni branding .
unapojitanabaisha kuwa wewe ni kampuni au biashara suala la digital branding ni muhimu sana hasa nyakati hizi za digitalisation
Professional/Businesse email ni zipi..
hizi ni email zenye domain ya kampuni au biashara yako.
badaya ya kutumia email ya > jumamgunda@gmail.com basi inakua info@jumastore.com
hii hukuongezea uaminifu kwawateja pia ni branding .