Ubaya wa hapa JF huwezi jua aliyeanzisha uzi ni nani na anamwangalia vipi anayemtuhumu. inawezekana kabisa aliyeanzisha uzi huu ni mwathilika wa juhudi za prof za kuondoa mgao wa umeme, anafanya juhudi kumvunja moyo ili dili lake liendelee...
Hivi sana wanasingizia miundombinu mibovu! Nipo njiani kuelekea Mahenge Ulanga, ngoja nikajionee na huko!
Katika mashirika muhimu lakini hovyo kabisa ni TANESCO!!!! Labda waje malaika kuongoza ndiyo litabadilika.
Nimesikia asubuhi ya leo katika kipindi cha mapitio ya magazeti ahadi ya Waziri wa Nishati na Madini Mh Prof. Sospeter kuwa mgao wa Umeme haupo na Hautakuwepo katika Tanzania hii.
Kwanza atambue kuwa ahadi hiyo tayari watangulizi wake walishaitoa na waliishia kuaibika.
La pili ni kwamba takribani kwa kipindi cha wiki moja sasa nipo katika wilaya ya Korogwe Mkoani Tanga, kwa kipindi hicho chote nilichokaa hapa nimeshuhudia Tatizo klubwa sana la kukatika kwa umeme, Karibu kila siku iendayo zake umeme unakatika. Kwa siku ya jana pekee, tar 20/10 umeme ulikatika mara 5. Leo tarehe 21/10, mara tu baada ya kipindi hicho cha mapitio ya magazeti umeme mahali hapa tayari umekatika. Naandika post hii saa 1 na nusu asubuhi hakuna umeme. Kwa hili profesa wangu umetokota vibaya.
Kutathmini juhudi zipi, alichofanya yeye ni kuingia na mbwembwe huku akijua CCM wanategeme hujuma ndani ya Tannesco kuendesha chama, usitarajie mabadiriko yeyote kama CCM itaendelea kuwepo madarakani. Ninavyoandika muda huu huku nimepita hapa Nzega umeme hakuna nimeambiwa ulikatika alfajiri ukarudi saa 6 mchana na mida hii saa 11 umekatika.ni vema kuthamini juhudi za Prof Mhongo, na inshaalah siku zijazo hayo unayoyaona sasa ambayo mpk sasa mnayoona(lile kundi la kututengenezea mgao) watakapo ondoka kwenye maofisi yao maana kuna watu bado wanataka ashindwe,mtashindwa ninyi
Nipo tabata sasa hv umeme hakuna toka saa 9 usiku mpaka muda huu ninavyo comment hapa.Ccm ni janga jamani.
Ivi mnaelewa tofauti ya mgao wa umeme na katizo la umeme
Maana mnayoyataja apa yote ni makatizo ya umeme kutokana na shughuli mbali mbali
Na ata ivyo umeme ukiwa haupo korogwe tabata does that mean ni mgao?
Unless kama kuna watu hawajui maana ya mgao
Tuache ushabiki lets be realistic
Ivi mnaelewa tofauti ya mgao wa umeme na katizo la umeme
Maana mnayoyataja apa yote ni makatizo ya umeme kutokana na shughuli mbali mbali
Na ata ivyo umeme ukiwa haupo korogwe tabata does that mean ni mgao?
Unless kama kuna watu hawajui maana ya mgao
Tuache ushabiki lets be realistic