Profesa Sospeter Muhongo Tazama ulivyochemka

Ubaya wa hapa JF huwezi jua aliyeanzisha uzi ni nani na anamwangalia vipi anayemtuhumu. inawezekana kabisa aliyeanzisha uzi huu ni mwathilika wa juhudi za prof za kuondoa mgao wa umeme, anafanya juhudi kumvunja moyo ili dili lake liendelee...


Ndio uzuri wenyewe wa JF kutofahamika; mngefahamiana mgeoneana aibu na msingefunguka hasa wale magamba!! VIVA JF!!!
 
Hivi sana wanasingizia miundombinu mibovu! Nipo njiani kuelekea Mahenge Ulanga, ngoja nikajionee na huko!

Nipo mahenge / ulang, umeme upo japo lilikuwa ndo swali langu la kwanza kuuliza nilipofija, ni nilijibiwa wewe subiri baada ya masaa mawili ndo utaona kama umeme upo muda wote au la!
 
Katika mashirika muhimu lakini hovyo kabisa ni TANESCO!!!! Labda waje malaika kuongoza ndiyo litabadilika.

serikali wanaogopa kulibinafsisha kwa sababu kuu mbili, mosi ni chanzo kikubwa sana cha mafisadi kuchota pesa pili serikali ndio mdaiwa mkuu wa TANESCO!!
 

Vumilia mkuu
 
ni vema kuthamini juhudi za Prof Mhongo, na inshaalah siku zijazo hayo unayoyaona sasa ambayo mpk sasa mnayoona(lile kundi la kututengenezea mgao) watakapo ondoka kwenye maofisi yao maana kuna watu bado wanataka ashindwe,mtashindwa ninyi
Kutathmini juhudi zipi, alichofanya yeye ni kuingia na mbwembwe huku akijua CCM wanategeme hujuma ndani ya Tannesco kuendesha chama, usitarajie mabadiriko yeyote kama CCM itaendelea kuwepo madarakani. Ninavyoandika muda huu huku nimepita hapa Nzega umeme hakuna nimeambiwa ulikatika alfajiri ukarudi saa 6 mchana na mida hii saa 11 umekatika.
 
Ivi mnaelewa tofauti ya mgao wa umeme na katizo la umeme
Maana mnayoyataja apa yote ni makatizo ya umeme kutokana na shughuli mbali mbali
Na ata ivyo umeme ukiwa haupo korogwe tabata does that mean ni mgao?
Unless kama kuna watu hawajui maana ya mgao
Tuache ushabiki lets be realistic
 
tangu nilipo muona ameeanza matembezi canada na oman pamoja na jk aaaaa basi tena sio muhongo tena ameshakuwa muongo
 

We ni bwimbwi kweli, yaani maeneo yote hayo yawe na matengenezo ya kawaida? na kama ndo ivyo basi tuseme hawana kazi ya kufanya kama Tz nzima wanafanya matengenezo ya hivyo then hatuna shirika basi bali ni mfano washirika
 

Basi haya nimekuelewa, tuliite ni katizo la umeme karibu kila siku na nikwa nchi nzima
 
mi nilipo nna miezi 3 tangu nifike sijawahi kosa huduma ya umeme.
Mbeya town.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…