Profesa Jay akabidhiwa Barcode yake na kampuni ya GS1

Profesa Jay akabidhiwa Barcode yake na kampuni ya GS1

Mtamile

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
2,838
Reaction score
1,274
1376511_10151941058987558_74786184_n.jpg

Leo nimekabidhiwa BARCODE yangu na shirika la GS1 TANZANIA , Hii itaniwezesha kuweza kutanua zaidi wigo wa soko la Muziki wangu na kuwafikia mashabiki wangu sehemu mbali mbali duniani na Quality ya juu zaidi, kwa wale wote waliokuwa wakiniulizia watapataje muziki wangu wa zamani na wa sasa tena kwa kiwango cha juu kabisa kaeni mkao wa kula....MUNGU AWABARIKI SANA!!

1378670_10151941072477558_1936070200_n.jpg




1376472_10151941068742558_1399189653_n.jpg





Shukrani sana kwa timu nzima ya GS1 TANZANIA kwa kuweza kunikabidhi BARCODE yangu Leo.....MAPAMBANO bado YANAENDELEA!!

source https://www.facebook.com/ProfesaJay
 
aluta continua jay. huo ni mrejesho sawia wa kile ulichokifanya toka enzi zile mpaka sasa.
 
jamani kuuliza sio ujinga.. naomba kujua umuhim wa hiyo barcode kwa msanii wa muziki.
 
Hata kama sijui inatumikaje,ila itakua na umuhimu!! Big up the legendary himself jay wa mitulinga.
 
Back
Top Bottom