Hao ni Mbegu ndugu,chukulia wore hao hivi Sasa Wana miaka 13 miaka mitano ijayo watakua na miaka 18 .Hapo walipo Sasa hivi wanapata Elimu murua kabisa ya uraia na uchungu, Hawa utakapofika mda wa kujiandikisha hawaitaji kushawishiwa Bali wait ndio watakua wanawshawishi wengine.Na Hawa hawatakuiba I kuibiwa kura.Hawa wakiona matokeo yanacheleweshwa Hawa watakua na nguvu ya kufanya maamuzi magumu.
Kwa sababu wewe Ni kipofu wa akili huwezi kuyaona hayo.
Hiyo ni Mbegu mbaya Sana kwenu nyie wezi wa kura.Siki hazigandi.
Roho ya Yule bwana itapapalika.... DC mikumi ajiandae kupoteza kazi. Haoni wenzake akina Sabaya????View attachment 1376817View attachment 1376818View attachment 1376820
Hapa ni kwenye Mkutano wa hadhara kata ya Tindiga
Hahahaaaa,mmeumbuka washamba nyie mnafanya siasa za majitaka!Kwani ni lazima kila mtu ausome?
Wewe jamaa nilikuaga nakuona Kama Ni mtu mwenye upeo mkubwa na mwenye akili,kumbe huwa siko sahihi.kumbe na wewe Ni sawa na LB7
Asante kwa kunitukana.nadhani wasomaji humu wataendelea kuona Aina ya michango yako.Nakusaidiaje sasa kama unashindwa kuelewa utani na ukweli???😂😂😂 Sema imeuma hayo mengine yako
LB7? Weka LB0
Happy?
Una kazi nzito ya "kuona watu"
Who cares with all these fake IDs
Ulianzaje mahaba ha kuniona mimi kivile?
Stupid
Roho ya Yule bwana itapapalika.... DC mikumi ajiandae kupoteza kazi. Haoni wenzake akina Sabaya????
Shauri yako.Hahahaaaa,mmeumbuka washamba nyie mnafanya siasa za majitaka!
Kwani Lowassa alishindwa Urais ?Yeye anaangalia wingi wa watu haangakii idadi ya wapiga kura hata lowasa na mrema kulikuwa hivyo hivyo leo hii wako wapi
Muulize anateseka?hoja yako ya kijinga kama hii unataka nikusaidieje ?
Wingi wa watu ukiwa upande fulani wanabatizwa kuwa wapiga kura. Laki wingi ukiwa upande mwingine hao siyo wapiga kura!Sasa hao watoto ni wapiga kura?mbona mnaaminisha watu kitu ambacho kinaonekana kabisa sio. Wingi wa watu sio kukubälika mkuu wengine wameenda kushaangaa tuu
Mkuu hajakupa jibu mpaka Sasa?hahahahahaKwani Lowassa alishindwa Urais ?