Profesa ama Dokta wa akili maana yake nini?

Profesa ama Dokta wa akili maana yake nini?

mcubic

JF-Expert Member
Joined
Mar 3, 2011
Posts
10,310
Reaction score
6,546
Jaji Werema wakati anaanza kuhitimisha hoja ya mabadiliko ya sheria mbalimbali amewatambua Dr Mwakyembe na Profesa Juma kapuya, ni Dr na Prof wa akili......maana yake ni nini. Naomba mnijuze wakuu....
 
Back
Top Bottom