Profesa aliyemtabiria Trump ushindi amtabiria kuondolewa madarakani

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
37,551
47,206
Profesa nguli wa siasa Marekani ambaye ametabiri kwa usahihi ushindi wa marais wote wa marekani toka mwaka 1984; na ambaye pia alitabiri ushindi wa Trump, profesa Litchman amekuja na utabiri wake tena ila mara hii amekuja na habari za kuondolewa madarakani kwa bwana Trump kabla ya kumaliza muhula wake wa madaraka.

Professa Litchman amekuja na utabiri huo kwa kuzingatia shinikizo litakalotokana na wananchi kutokana na mwenendo usioridhisha wa utendaji wake.

Ingawa Chama cha Bw. Trump ndicho kinachoshika mabunge yote mawili ya senate na congress hiyo haitakuwa sababu ya kuzuia kuondolewa kwake madarakani.

ni jambo la kusubiri na kuona.

How the Professor Who Predicted Trump's Win is Making the Case for Impeachment
 
Walishatabiri watabiri hata yule wanigeria mwisho wa siku Donald akaibuka mshindi, kuanzia hapo siziamini tena kamali zao...ivi mnafikiri Donald alivo anaweza kutolewa pale kizembe zembe kweli acheni stori za vijiweni aisee jamaa anapiga mzigo saizi na tule tumaandamano naona tumepukutika wote saizi wanapiga kazi namimi nasema Donald pigaa kaziiiii!
 
Walishatabiri watabiri hata yule wanigeria mwisho wa siku Donald akaibuka mshindi, kuanzia hapo siziamini tena kamali zao...ivi mnafikiri Donald alivo anaweza kutolewa pale kizembe zembe kweli acheni stori za vijiweni aisee jamaa anapiga mzigo saizi na tule tumaandamano naona tumepukutika wote saizi wanapiga kazi namimi nasema Donald pigaa kaziiiii!
sidhani kama umetake trouble kumfuatilia huyo profesa. Despite all media kupredict ushindi kwa Hilary yeye alisema Trump atashinda. na alikua sahihi. huyu mtu katabiri ushindi kwa marais nane wa marekani bila kukosea. si wa kumpuuza.
 
Profesa nguli wa siasa Marekani ambaye ametabiri kwa usahihi ushindi wa marais wote wa marekani toka mwaka 1984; na ambaye pia alitabiri ushindi wa Trump, profesa Litchman amekuja na utabiri wake tena ila mara hii amekuja na habari za kuondolewa madarakani kwa bwana Trump kabla ya kumaliza muhula wake wa madaraka.

Professa Litchman amekuja na utabiri huo kwa kuzingatia shinikizo litakalotokana na wananchi kutokana na mwenendo usioridhisha wa utendaji wake.

Ingawa Chama cha Bw. Trump ndicho kinachoshika mabunge yote mawili ya senate na congress hiyo haitakuwa sababu ya kuzuia kuondolewa kwake madarakani.

ni jambo la kusubiri na kuona.
Hili Inawezekana sana. Moja ya SABABU kubwa ni kuwa Trump hana MSIMAMO.
Yale aliyokuwa akiyapinga wakati wa uchaguzi ndo ANAYAFANYA sasa.
Trump pia ni mtu anaye ji CONTRADICT sana- FLIP FLOP mara leo hili kesho lingine.
Ngoja tuangalie ngoma inavyoendelea.
 
"Utendaji usioridhisha" utendaji kama upi?
nimeattach article. isome. on another note wananchi wa marekani ndio wanaolalamika namna anavyoiendesha nchi yao. fuatilia mambo kwanza kabla ya kutaka uambiwe kila jambo.
 
Profesa nguli wa siasa Marekani ambaye ametabiri kwa usahihi ushindi wa marais wote wa marekani toka mwaka 1984; na ambaye pia alitabiri ushindi wa Trump, profesa Litchman amekuja na utabiri wake tena ila mara hii amekuja na habari za kuondolewa madarakani kwa bwana Trump kabla ya kumaliza muhula wake wa madaraka.

Professa Litchman amekuja na utabiri huo kwa kuzingatia shinikizo litakalotokana na wananchi kutokana na mwenendo usioridhisha wa utendaji wake.

Ingawa Chama cha Bw. Trump ndicho kinachoshika mabunge yote mawili ya senate na congress hiyo haitakuwa sababu ya kuzuia kuondolewa kwake madarakani.

ni jambo la kusubiri na kuona.

How the Professor Who Predicted Trump's Win is Making the Case for Impeachment
Sorry mkuu, niifungue hiyo link nikajisomee mwenyewe au niendelee kuamini kwamba "Chama cha Trump ndicho kinachoshika mabunge yote mawili ya Senate na Congress?"
 
Huyu professor nimemkubali, jambo alilolitabiri 2017 naona linaenda kutumia kuanzia sasa. Alafu Marcus joro anza kutambua kuwa wenye nchi na wenye maamuzi juu ya nchi yao ni wananchi.
Hata hapa bongo wananchi wakiamua hakuna mabomu ya machozi wala SMG iyakayowafanya washindwe kusimamia watakachoamua.
 
Huyu professor nimemkubali, jambo alilolitabiri 2017 naona linaenda kutumia kuanzia sasa. Alafu Marcus joro anza kutambua kuwa wenye nchi na wenye maamuzi juu ya nchi yao ni wananchi.
Hata hapa bongo wananchi wakiamua hakuna mabomu ya machozi wala SMG iyakayowafanya washindwe kusimamia watakachoamua.
BONGO???????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom