Dah!!! Hakuna mtu niliekuwa namuona kama Nyerere kama huyu bwana. Mawazo na maisha yake yalifanana kama ya Nyerere,hata yeye alimpenda na kumkubali Nyerere. Ila amepoteza umaarufu. Tunataka katiba mpya na yeyote atakaesimama mbele ya njia tupitayo atapotezwa ile mbaya. Tupishe tupite,tumechoka na ujinga wa NYINYI EM
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums