GE2025 Prof. Ndakidemi aahidi Airport jimbo la Moshi Vijijini akipewa nafasi tena kuwa Mbunge

GE2025 Prof. Ndakidemi aahidi Airport jimbo la Moshi Vijijini akipewa nafasi tena kuwa Mbunge

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

SSH2025_2030

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
9,661
Reaction score
9,753
Mbunge Mteule Prof Ndakidemi ameahidi makubwa endapo atachaguliwa tena 2025-2030. Moja ya Ahadi Yake NI kujenga airport kubwa jimboni Moshi vijijini.
 
Hana sera huyo, arudi nyumbani akalelee wajukuuu, Mbunge ni Moris Makoi.
 
2030 atarudi kijijini na kusema serikali ndio ilimfelisha kwenye maono yake 😂
 
Hatuhitaji hayo makitu kwa sababu sio kipaumbele chetu. Barabara tu zimemshinda ndio airport? Siasa za miaka hii sio za kudanganyana hivyo kitoto
 
Hana sera huyo, arudi nyumbani akalelee wajukuuu, Mbunge ni Moris Makoi.
Morris Makoi? Huy atakuwa kakake na Mareheu Aloyce Makoi? Sasa huyu Mh. huu uongo wa mchana kweupe wa nini jamani? Wachaga nao siku hizi wamekuwa ndezi wa kudanganywa tu?
 
Mbona kama anaahidi jambo ambalo ni gumu sana kulitekeleza!!

Kuna tambarare ipi Moshi vijijini inafaa kujengwa uwanja wa ndege?
 
hiyo Airport atajenga eneo gani?
najaribu kuwafikiria kuanzia Uru na Kibosho kuna tambarare ipi pale?
 
Back
Top Bottom