Prof. Muhongo TANESCO Ilala kuna jipu

 
Frank tunaomba ulijibu hili na treborx toa reference numbers ya hizo kesi

Kwanza natoa moja: Ref # TB 15010502 ambayo ilitolewa tarehe 4/10/2015 kwenye ofisi ya Tanesco mbeya. Kesi hii inahusu nguzo ya umeme ambayo imeanguka na nyaya kugusa fensi ya chuma hivyo kutoa cheche. Hata leo iko hivyo hivyo!.
 
Mimi nakaa hapa Tabata matumbi ni balaa tangu mvua zilipo anza kunyesha ili wiki mpaka leo umeme unakatika kwa siku si chini ya mara 10 na mda mwengine tunalala giza kama jana mnatunguzia vitu vyetu majumbani.
 
Kwanza natoa moja: Ref # TB 15010502 ambayo ilitolewa tarehe 4/10/2015 kwenye ofisi ya Tanesco mbeya. Kesi hii inahusu nguzo ya umeme ambayo imeanguka na nyaya kugusa fensi ya chuma hivyo kutoa cheche. Hata leo iko hivyo hivyo!.

Hii ni hatari Sanaaaaa inamaana hakuna wahusika au ni makusudi? ikijakuuwa mtu Manager wa TANESCO halijui Hili hawa ndio wa kufukuzwa MAJIPUUU

TANESCO TUNAHITAJI MAELEZO
 
Mimi nakaa hapa Tabata matumbi ni balaa tangu mvua zilipo anza kunyesha ili wiki mpaka leo umeme unakatika kwa siku si chini ya mara 10 na mda mwengine tunalala giza kama jana mnatunguzia vitu vyetu majumbani.
pole KAKA hata SIE ni hivyo
 
Natumaini hilo tumeshaliongelea kesho litafanyiwa kazi limalizike
 
Kwanza natoa moja: Ref # TB 15010502 ambayo ilitolewa tarehe 4/10/2015 kwenye ofisi ya Tanesco mbeya. Kesi hii inahusu nguzo ya umeme ambayo imeanguka na nyaya kugusa fensi ya chuma hivyo kutoa cheche. Hata leo iko hivyo hivyo!.
Trebox nafanya mwasiliano na ofisi husika ntakujibu, pia unaweza kutumia number hiyo hapo juu for quick assistance
 
Kuhusu namba TANESCO walitoa namba za ma meneja wa kanda na Mikoa kwenye vyombo
mbali mbali vya habari.

Ni lini ulijibiwa HATUJAJUA TATIZO? pia unapo toa taarifa unatakiwa kupewa TB namba kwa ajiri ya kufuatilia ulipewa?

Upo Ilala sehemu gani ambapo unatatizo la wiki nzima halijatatuliwa?

PM namba yako
 
Kama kuna MTU wa TANESCO Ilala humu atusaidie. Kuna ndugu yangu anaishi maeneo ya Kivule kwa Kichonge ambako umeme umeanza kufika. Anasema walihamasishwa kutoa shs elfu sita kwa ajili ya kupata fomu. Wakatakiwa wakati wanapeleka pesa hizo wapeleke pia nakala ya kitambulisho na picha pp size. Wakazi wakaitikia wakiwa na shauku ya kupata umeme. Baada ya kukabidhi fedha hizo kwa MTU aliyejitambulisha kuwa anatoka Tanesco wakaambiwa itabidi watoe elfu 30 za mchoro na mchoraji atapita kwenye nyumba za watakaolipa kuifanya kazi hiyo. Itakapokamilika ndipo umeme utaletwa. Lakini kilichotokea watu waliotoa fedha za fomu hawakuletewa fomu na waliotoa elfu 30 za mchoro hajapita MTU yoyote. Baadhi ya wakazi wa kwa Kichonge wamepata umeme lakini hawa wengine hawajui hatma ya fedha walizotoa maana mwezi na zaidi umepita hakuna dalili za kupata umeme. Hili limekaaje? Je zoezi hilo lipo na malipo ni sahihi na kwa nini zoezi limekatika ghafla?
 

majibu yapo hapo juu kwenye re
 


Mkuu tuweke hizo number hapa

wiki hii nilipata jibu hilo ilikuwa usiku 2100 Hrs

Wiki hii inajulikana palikuwa na tatizo la kukatika mara kwa mara
 
mbona wahusika TANESCO hamjibu

Bd Yange wataje hapa ili watu wa magazetu watusaidie
 
Nyie Jupu TANESCO Na jana mmetuweka bila UMEME nyie kweli majipu

Magufuli Tumbua hawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…