Prof. Mark Mwandosya ni mpotoshaji

Tume ikiwa huru 2020 Chadema ht wakiweka jiwe linapita. HT Humphrey slo slow kipnd akiwa na akili timamu alinena hayo
 
Tatizo lake hawezi kufanya kazi Kama team anapenda upeke yake peke yake angeiva na kikwete wakati kikwete kawa raisi angempa hata uwaziri mkuu.Magufuli kuteuliwa akaanza kubwabwaja kuwa Magufuli hafai kuwa mwenyekiti wa CCM kwa kuwa hajawahi kiongozi wa CCM Hana uzoefu !!!! Yeye mwenye uzoefu mbeya wapinzani wamechukua uongozi Hadi udiwani!! Magufuli ameshika na akina Polepole ambao hawana sifa alizotaja majimbo yote chaguzi za marudio za ubunge CCM imechukua yote na udiwani CCM imechukua kote kasoro mbeya kwake Mwandosya anakojidai Ana uzoefu wa uongozi wa CCM!!!!!! Kulia kasahaulika akumbukwe kwa lipi? Azawadiwe kwa Mbeya kuchukuliwa na akina Sugu?
 

Wewe ni mnafiki wa hali ya juu mkuu. You are worse than an animal. Yaani wewe unajifanya mzalendo wa hali ya juu kwa ccm na mkulu kuliko mzee Mwandosya. Unavyomtuhumu Sugu utafikiria wewe ndio ulikuwa shahidi wa kwanza kwenye kesi ya Sugu. Mtu kama wewe ndio wa kwanza ambae mtamshutumu mkulu atakapokuja kutoka madarakani. Yaani mzee Mwandosya kupata tiba nnje kwa fedha ya serekali ni hisani ya mkulu au ya ccm. Kwa hiyo ulitaka mzee Mwandosya Awe mnafiki kama wewe afiche kile anachokiamini. Kwa mzee kama Mwandosya kwa nafasi za kiserekali na za kichama alizozishika amepevuka kisiasa kiasi cha kuchukulia siasa si uadui wala ugomvi wa kukomoana. Mburula kama nyinyi mnafikiri siasa ni kukomoana, na uadui, na kuwa yeyote mwenye mawazo tofauti ya ki itikadi au mfuasi wa chama cha siasa kisicho kuwa chako ni adui na hana haki yeyote ndani ya nchi hii. Wewe huna hadhi ya kumsahihisha Prof Mwandosya hasa ukizingatia profile yake ambayo wewe mwenyewe umeielezea, ndani ya CCM na ndani ya serekali. Jipange tena mkuu kwa jingine sio hili.
 
POVU LINAKUTOKA KILA SEHEMU YENYE UWAZI MWILINI MWAKO. UNATAKA NA PROF ASHIKILIWE AKILI YAKE KAMA WEWE UNAVYOTUMIKA. NI SUALA JEPESI KUWA SUGU NI MWANASIASA ALIFUNGWA KWA SABABU ZA KISIASA. HAKUKUWA NA JINGINE.

SIASA SI UADUI.na Prof yupo sahihi na huru kufikiria anachofikiria kwa mtizamo wake. wewe pia upo sahihi kuona unachoona na kufikiri unachofikiri kwa mtizamo wako. SHAURI YAKo. Wewe tegesha tu kama Goli kipa utakapojikuta siku unatapikwa baada ya watu kukuona matumizi yako yameisha huna tena thamani.

 
Hivi hii issue ya msahamaha wa Rais imetoka wapi wakuu embu mtujuze maana sielewi
 
Pole sana kwa kuumizwa kwako. Inaonekana kwako upinzani sio watanzania. Na mtu akiwaunga mkono anakuwa mpungufu wa utanzania. Ama kweli Mungu ni mwaminifu kiasi ambacho ukiomba akupe akili za kipuuzi anakupa tu. Hana hiana kabisa
 
Mkuu nisaidie tatizo langu nilikuletea kule kwenye uzi Wetu wa legal docs. Please and please
 
Maoni yako hayazuii wengine kufikili vinginevyo hata hayo mawazo yako si sahihi Kwa watu wengine
 
Hivi kauli hiyo alikuwa akimaanisha kuwa hayo yamefanywa na Magufuli, sidhani. Hapo kuna uongo, hayo hayakutokea ya Lisu etc
 
Sidhani kama unajielewa au utakaa ujielewe, Prof. ametoa maoni yake kwa hoja zake. Elewa kuwa ktk wajengaji hoja, wachambuzi wa mambo, weledi na hekima Prof. huyu ametukuka. Usishambulie kwa hoja za kitoto na mihemko ya ki-ccm.
 
Wako wengi haina yake Prof Mwandosya ambao kwa kutoshwa na Serikali inayongozwa na Dr Magufuli, hawafichi hasira na chuki zao. Haitomsaidia katu.
 
Mkuu! Hivi Mandela namba yake huko kifungoni ilianza na Neno Mfungwa wa Kisiasa Na:......? Pia kwani chanzo cha hilo kosa linalosemekana alilitenda Bwana Sugu lilifanyika katika jukwaa la kisiasa au pahala pengine ambapo hapakuhusiana na mambo ya kisiasa?

Halafu mkuu, hivi mtu kweli kama kwa mtazamo wake anaona mambo hayako sawa basi akae kimya kisa tu anatibiwa kwa pesa ya Serikali hiyo ambayo yeye anaona kuna baadhi ya raia hawatendewi sawa?

Kwa mtazamo wangu finyu, huku nikiheshimu Pia mawazo yako, nadhani Mwandosya siyo Masikini kihivyo mpaka akae ategemee kutibiwa kwa hisani ya Serikali yetu hii pendwa.

Kwa Mnafiki wala asingeweza kusema hayo kwa hofu tu ya kukatiwa mirija, ila Bwana Mark anajiamini kwakuwa kwa mazingira aliyonayo hata kama Bwana mkubwa akikata mirija ataweza kujikimu mwenyewe.

Hivyo ni vema tukaheshimu mawazo yake kama wewe ulivyotoa mawazo yako, kuhudumiwa na Serikali isiwe kama kufungwa kwa uhuru wa kifikra na kuafiki kila kitu kifanywacho na serikali hata kama kipo kinyume na mitazamo yako.

Tuvumiliane, kwani kila mmoja ana mtazamo wake na mawazo yake, japo mpo chama kimoja lakini kuna siku lazima mtapishana tu mitizamo iwe katika kujenga au kubomoa.
 
Noted,thanks
 
Hakuna shtaka linaloitwa la kisiasa vitabuni bali huwa linafahamika hivyo na wajuzi wa siasa.
Hata Mandela alishtakiwa kwa makosa ya uchochezi lakini tunajua kuwa ni sababu za kisiasa.
Hivyo mpende msipende kosa LA Sugu ni LA kisiasa kwani alikuwa kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hiyo kauli walizo muhukumu nazo ni za kisiasa.
Angetoa maneno hayo dhidi ya baba yako kule kijijini analima hiyo ingekuwa sio siasa.
Kama Jiwe alivyowatukana kule Bukoba watu ambao sio wanasiasa hivyo ni jinai tupu ile
 
Fanya hivi; hapo ulipomsifia Mandela na kifungo chake cha "kisiasa"; tafuta Kaburu mmoja mwenye umri wa zaidi ya miaka 50 au MWafrica kusini yeyote hata mweusi, I mean ambaye alikua mtu mzima kuanzia mwaka 1989 kurudi nyuma huko and then muulize kipindi hicho Mandela alihesabika kama mfungwa wa kisiasa au JINAI. Just a tip; huyo Mandela unayesema alifungwa kisiasa, Makaburu walimuona kama GAIDI, yaani GAIDI kama Wamarekani walivyokua wanamuona Osama Bin Laden; nachotaka kukwambia hapa ni hiki; ni issue tu ya wewe unavyofikiria. No 9 na 6 zinaweza kusomeka vinginevyo, just depending na uliposimama!
 
Waliosapoti ujinga wa.professor Mwandosya ndo wanaomtukana mleta uzi badala ya kupangua hoja yake kwa hoja,ila Magufuli ka note kitu kwenye uzi huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…