Kama huna cha kuchangia funga domo lako linalotema uvundo ....ulitaka atoke aje kuoa kwenu au
MTU kwenye akili timamu hawezi kutoka bungeni kususia mambo
Mwanaume akimbii matatizo Bali anakomaa nayo mpaka kieleweke
Prof. Mahalu hawezi kutoka, maana ile scandal yake ya kuchikichia Sh. 2.5 bilion kule Italy (alipokuwa Balozi) ndiyo imepozwa hivi karibuni tu na chama chake. Hivyo lazima aonyeshe utiifu wa hali ya juu hata kama hilo jambo siyo sahihi.