Lipumba ajitazame upya anatia Aibu,Yalie otokea CUF kayajuaje nae aliekuwa nje? Aliyoyaongea ni uongo mtupu Kama alivyoongea mwaka 2000 kuwa CUF imeibiwa kura zanzibar akatakiwa kuthibitisha akashindwa akashtakiwa akalipa FAINI tsh. Milioni kumi kwa mwenyekiti wa tume ya uchaguzi wa zanzibar. Hii wenzake wamemchomekea,CUF is hakuna.