hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
Hahaa jamaa kapigwa K.O alidhani kuwa fitina aliyoifanya itammaliza mwenzie " Bahati mbaya amekuja kushtuka kuwa kumbe alikuwa amempiga chura tekeYeye ametaka kua mwenyekiti wa msajili na wa kisutu amekua lakini haishiwi maneno hakika jamaa ameumia sana yani ni sawa na kutaka kumfukuza kazi mfanyakazi wako ofisini kabla hujafanikiwa mfanyakazi anahamia UN
Sent using Jamii Forums mobile app