Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,133
- 48,857
Bora angeenda Ccm.
Huko ndiyo kutamfaa sana na sasa timu itakuwa imekamilika haswa na act sasa wajiandae kukikosa hata kile kiti kimoja cha ubungeWanaJF
Kuna tetesi zinasambaa kwa kasi kwamba aliyewahi kuwa Mwenyekiti wa Chama cha CUF Prof Ibrahim Lipumba anajiandaa wakati wowote kutoka sasa kutangaza kujiunga na ACT Wazalendo
Taarifa hizo zinazidi kubainisha kwamba mara atakapojiunga Mwenyekiti wa chama hicho Anna Mgwira atajiuzulu nafasi hiyo ili kumpisha Lipumba
Taarifa zaidi zitawajia hivi punde
Ndege wa rangi moja daima uruka pamoja!Asante kwa taarifa mkuu molemo .
Lipumba hana cha kujivunia kuwa chini yake kafanya jambo la maendeleoSi vibaya ni haki yake - watu wasipopata maendeleo ndani ya CUF watayatafuta kwingine.
Mkuu naomba kujuzwa tofauti ya ccm na actBora angeenda Ccm.