Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,757
Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amemvaa Rais Samia kutokana na madudu yaliyomo kwenye mkataba wa ukodishwaji wa bandari za Tanzania kwa kampuni la DP world kutoka Dubai kwa haufai na huenda kuna watu ndani ya serikali wanamtengenezea ajali kisiasa ili ashindwe kwenye uchaguzi ujao.
Prof Lipumba amesema alikuwa anampigia debe Rais Samia atwae tuzo ya Nobel lakini kwa madudu yaliyomo.kwenye mkataba wa DP world haitawezekana tena kutwaa tuzo hiyo.
Bashiru anaumwa kikohozi......Ndo maana bashiru na luhaga wakakaa kimya leo
Ulivyo na akili za konokono unafikiri wanakupenda sana wao hawataki faida??
Mzee Lipumba bwanaaa.....
Wataalamu wetu wameshatudadavulia kuwa DP WORLD wanakwenda kutupatia nusu ya bajeti ya nchi ya "fiscal year".....
#MamaAnaupigaMwingi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kwani walikuwepo? 😁 😁Ndo maana bashiru na luhaga wakakaa kimya leo
MhBashiru anaumwa kikohozi......
Luhaga ana mafua makali sanaa....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Bibi anapaishwa kama unyoya,siku inakuja atadondoka na kupasuka kama nazi!Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amemvaa Rais Samia kutokana na madudu yaliyomo kwenye mkataba wa ukodishwaji wa bandari za Tanzania kwa kampuni la DP world kutoka Dubai kwa haufai na huenda kuna watu ndani ya serikali wanamtengenezea ajali kisiasa ili ashindwe kwenye uchaguzi ujao.
Prof Lipumba amesema alikuwa anampigia debe Rais Samia atwae tuzo ya Nobel lakini kwa madudu yaliyomo.kwenye mkataba wa DP world haitawezekana tena kutwaa tuzo hiyo.
Hukuangalia bunge live mkuu walikuwepo na wakawa wanatoa kicheko ambacho kilikuwa na maana yake kwa sisi wataalam wa body languageKwani walikuwepo? 😁 😁
Ndugai jeeeBashiru anaumwa kikohozi......
Luhaga ana mafua makali sanaa....
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Nguvu ya mtu hailiwi bure.
Mzee Lipumba bwanaaa.....
Wataalamu wetu wameshatudadavulia kuwa DP WORLD wanakwenda kutupatia nusu ya bajeti ya nchi ya "fiscal year".....
#MamaAnaupigaMwingi
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huyu mtu wa hovyo sana anaacha kumpa makavu live anazunguka kama jogoo anayemendea mtetea... alikua wapi kabla ya azimio la bunge?Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amemvaa Rais Samia kutokana na madudu yaliyomo kwenye mkataba wa ukodishwaji wa bandari za Tanzania kwa kampuni la DP world kutoka Dubai kwa haufai na huenda kuna watu ndani ya serikali wanamtengenezea ajali kisiasa ili ashindwe kwenye uchaguzi ujao.
Prof Lipumba amesema alikuwa anampigia debe Rais Samia atwae tuzo ya Nobel lakini kwa madudu yaliyomo.kwenye mkataba wa DP world haitawezekana tena kutwaa tuzo hiyo.
Hivi kwa mkataba huu maanake TPA haipo tena au ??!Mwenyekiti wa CUF Profesa Lipumba amemvaa Rais Samia kutokana na madudu yaliyomo kwenye mkataba wa ukodishwaji wa bandari za Tanzania kwa kampuni la DP world kutoka Dubai kwa haufai na huenda kuna watu ndani ya serikali wanamtengenezea ajali kisiasa ili ashindwe kwenye uchaguzi ujao.
Prof Lipumba amesema alikuwa anampigia debe Rais Samia atwae tuzo ya Nobel lakini kwa madudu yaliyomo.kwenye mkataba wa DP world haitawezekana tena kutwaa tuzo hiyo.
Wasingeruhusiwa kuongeaNdo maana bashiru na luhaga wakakaa kimya leo
Wanakaa kimya badala kuzungumza ili baadaye waje kusema walikuwa wazelendo!Ndo maana bashiru na luhaga wakakaa kimya leo