Bonde la Baraka
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 4,580
- 7,938
Kwa nchi kama ya Tanzania inayoendeshwa na kikundi cha watu wachache wanaosema hawapangiwa, inawezaje kumtuma Waziri wake wa mambo ya kimataifa awaombee msamaha Zimbabwe?
Je, serikali hii ilipata barua za siri na viashiria vinavyoonyesha kuwa nchi itawekewa vikwazo siku za usoni hivyo Prof. kapitia mgongo wa Zimbabwe kujisafisha?
Au ndio yale ya nyani haoni kundule?
Je, serikali hii ilipata barua za siri na viashiria vinavyoonyesha kuwa nchi itawekewa vikwazo siku za usoni hivyo Prof. kapitia mgongo wa Zimbabwe kujisafisha?
Au ndio yale ya nyani haoni kundule?