Egwugu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2011
- 17,558
- 8,555
Wakongwe njooni mrudi mkaikomboe fani,mmeondoka mkaliacha gemu mikononi mwa hawa madogo sahivi muziki wa bongo umepoteza taswira yake na mliowaachia wamefika sehemu hawaelewi hata wao wanakwenda wapi
Rai yangu ni moja,rudini kwenye gemu muiweke sawa fani hii
cc:Mezz B,Mkoloni,D.Nob,Nura,Mwana FA,Jaffarey ..njooni jamani jahazi limekosa wakongwe! njooni mtoe darasa kwani bado ngoma zenu zinabamba mbaya sana.
Rai yangu ni moja,rudini kwenye gemu muiweke sawa fani hii
cc:Mezz B,Mkoloni,D.Nob,Nura,Mwana FA,Jaffarey ..njooni jamani jahazi limekosa wakongwe! njooni mtoe darasa kwani bado ngoma zenu zinabamba mbaya sana.