Prof J,Mike T,Solo Th,Gk,L.Karama et al.

Prof J,Mike T,Solo Th,Gk,L.Karama et al.

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Wakongwe njooni mrudi mkaikomboe fani,mmeondoka mkaliacha gemu mikononi mwa hawa madogo sahivi muziki wa bongo umepoteza taswira yake na mliowaachia wamefika sehemu hawaelewi hata wao wanakwenda wapi

Rai yangu ni moja,rudini kwenye gemu muiweke sawa fani hii

cc:Mezz B,Mkoloni,D.Nob,Nura,Mwana FA,Jaffarey ..njooni jamani jahazi limekosa wakongwe! njooni mtoe darasa kwani bado ngoma zenu zinabamba mbaya sana.
 
daaaah! hakika hawa jamaa waliifanya bongo flava kupendwa na watu wa rika mbalimbali, sasa hivi gemu imekamatwa na masharobaro yaani ni vurugu tu!
 
Juzi nimesikia wimbo wa mkoloni na Dk. John dah.. usipokuwa makini utadhani wanatukana, utata mtupu mara kunyonyana, kusimamisha, kutia mkazo yaani duh..!
 
Kila zzama na kitabu chake ....enzi za hawa kina dude zimeshapita kama kna Rehan Bichuka na zilipendwa, waache kina Diamond na sweety sweety zao...hata kama hatuwaelewi ila hivyo hivyo tutaelewa mbele kwa mbele....
 
Soko la muziki lenyewe limeharibika watu wanapenda visivyopendwa sisi wakongwe tumebaki tunafakari ila hali ni mbaya.
 
Soggy Dog,Mr.2,Afande Sere,Mr.Misosi,J.Mtambo,Dazzy Baba,Snea,Balozi,Nature,Kalapina,Rich One,Mapacha,D.Baya wengi wanawaponda eti mda wenu umeisha ila kitu ambacho hakiwezi kupingwa ni uhitaji wa kuwepo kwa mashairi yenu ...tunakosa sana vipaji vyenu ambavyo mlipewa na Mungu bure,mrudi gemuni.
 
tupo pamoja,siku nikipata ukimwi,kisa cha baba mkwe,bado nipo,tunasonga,mambo ya fedha,kurwa na doto,nanata,tatakukumbuka,nibeep,hizi ni baadhi ya ngoma za wakongwe hawa:smile-big:
 
Mike T alikuwaga funiko bovu na lafudhi yake
 
Mike T alikuwaga funiko bovu na lafudhi yake

Kweli kweli mkuu ukimchukua ile flow yake ya tulikulaga,tulikwendaga basi tu ...bila kumsahau kichwa cha ubunifu mzee wa mabinti wa magetini na k'nyama a.k.a J.Mo utapenda

We miss you all.
 
mbona mwana fa bado yuko kwny gemu na ni msomi? je usomi wake unasaidiaje jamii ya wasanii wenzake?
 
Kweli kweli mkuu ukimchukua ile flow yake ya tulikulaga,tulikwendaga basi tu ...bila kumsahau kichwa cha ubunifu mzee wa mabinti wa magetini na k'nyama a.k.a J.Mo utapenda

We miss you all.

Nadhani hiyo kiswahili ya alikulaga,alinipendaga ndo aliyefanya isambae
 
Juzi nimesikia wimbo wa mkoloni na Dk. John dah.. usipokuwa makini utadhani wanatukana, utata mtupu mara kunyonyana, kusimamisha, kutia mkazo yaani duh..!

unaitwa bao huo ni brand new track.... wagosi wa kaya wamerudi
 
mtoa mada naona hufatilii game ya bongo wewe..... wagosi wa kaya wamerudi tena na wimbo unaitwa bao... jay moe karudi na wimbo unaitwa JWTZ kamshirikisha prof jay na juma nature utafute youtube kuna kipande cha video hiyo..... nature pia na wimbo kama jana...... prof jay ft diamond wimbo kipi sijasikia..... mwana fa sio msanii huyo....d knob pia karudi na kazi inaitwa nishike mkono ft mwasiti na ukitaja marapa wafu wa kwanza jaffarai
 

Attachments

  • 1397872403230.jpg
    1397872403230.jpg
    34.4 KB · Views: 96
mtoa mada naona hufatilii game ya bongo wewe..... wagosi wa kaya wamerudi tena na wimbo unaitwa bao... jay moe karudi na wimbo unaitwa JWTZ kamshirikisha prof jay na juma nature utafute youtube kuna kipande cha video hiyo..... nature pia na wimbo kama jana...... prof jay ft diamond wimbo kipi sijasikia..... mwana fa sio msanii huyo....d knob pia karudi na kazi inaitwa nishike mkono ft mwasiti na ukitaja marapa wafu wa kwanza jaffarai
kuhusu wimbo wa jwtz ule wimbo sio wa jay moo ule wimbo unamilikiwa na jeshi lakini aliyepewa dili aimbe ni nature yeye akaona ni busara awashirikishe jay moo na prof jay
 
Wakongwe njooni mrudi mkaikomboe fani,mmeondoka mkaliacha gemu mikononi mwa hawa madogo sahivi muziki wa bongo umepoteza taswira yake na mliowaachia wamefika sehemu hawaelewi hata wao wanakwenda wapi

Rai yangu ni moja,rudini kwenye gemu muiweke sawa fani hii

cc:Mezz B,Mkoloni,D.Nob,Nura,Mwana FA,Jaffarey ..njooni jamani jahazi limekosa wakongwe! njooni mtoe darasa kwani bado ngoma zenu zinabamba mbaya sana.


93.7 FM itarudisha game ya kale na kuwathamini wasanii wa kale
 
Back
Top Bottom