Prof. Baregu aivuruga CHADEMA

Baregu na slaa ni wamoja........ Hata hii move naamini wanajua wanachofanya....... Wanaspin attention ya wenye upeo mdogo.... Mark my words
 
watu wenye busala daima hujali taifa kwanza kuliko chochote lakini wanatafuta maslahi binafsi hujali zaidi maslahi yao.
 
Profesa Baregu akiendelea na msimamo wake huo awe fired tu.Hapa suala sio kiwango cha elimu,umaarufu au chochote kile.Mtu yeyote anayebetray chama chetu chenye dhamira ya dhati ya kuwatetea Watanzania anawasaliti Watanzania pia awe fired tu.Inashangaza sana hadi Maprofesa wetu kupumbazwa kwa posho nono.Hili halikubaliki hata kidogo.Hakuna uzalendo haapo bali ni kuchanganywa na marupurupu tu.Kila mtu anajua jinsi Mchakato ulivyobakwa na MACCM
 
tatizo la chadema ni dogo tu ni chama kuwa mikononi mwa mbowe yeye akisema hakuna wa kupinga hatuwezi kufika kwa mtindo huu.
 
Nchi kwanza...........Chama baadae.
Tatizo la Babu Slaa na DJ Mbowe wanataka wanachokisema wao basi iwe ndio tu na wamesahau kuwa KATIBA NI YA NCHI wala si ya Vyama vya Siasa!
 
Mimi siyo mzee wa Lumumba na sitapata kuwa na hata Lumumba sifahamu ilipo. Kikubwa zaidi, jaribu kutumia risasi zako vizuri kwa sababu bunduki yako imeilengesha kusiko.

Mtafaruku ndani ya chama afanye mwingine na lawama zimpate mwingine. Hii logic utaipata kwa Mwita Maranya ONLY!

Wewe ndiyo hujamwelewa Prof. baregu ndiyo maana huamini anachokisema.

Afterall, It's only politics.
 
Last edited by a moderator:
Mi nashauri Aondolewe Baregu na nafasi hiyo Apewe Slaa maana naona ile milion 7.5 aliyoiweka kama sharti la kugombea urais haimtoshi mpika majungu huyu.

Wamezoea kufanya maamuzi chumbani kwa mtei sasa wamekumbana na kisiki.

Hongera Prof.
Siku zote mkifanya Chama kama mali ya watu fulani fulani ndio madhara yake haya!
Hivi kuna wasomi wangapi nchi hii ambao hawakupata fursa ya kutoa utaalam wao katika CCM wanataka kutoa mchango wao kwa taifa kupitia katika vyama vingine, lakini wakiangalia mfumo wa hivyo vyama vingine unawanyima fursa ya kuwa huru.

Kama hili swala linavyokomaliwa na Dr. bingwa wa magonjwa ya kinamama
Profesa Baregu anaweza kuwa chachu ya wasomi wengi kuingia katika vyama hvi pinzani, endapo tu ataachwa kuwa huru na kushirikiana na wajumbe wengine katika kutuletea katiba mpya.

Profesa Baregu komaa hapa ndio taifa litakapoweka history yako miaka 50 mbele, hii sio tume kama ya Waziri mkuu Pinda kumchagua Mbatia kisha kukataa uteuzi, na watu kumjaza misifa humu JF kumbe angaingia mle angejua mambo mengi ambayo yangemsaidia mbeleni.

 
Prof. Baregu tafuta hotuba ya Mh. G Lema aliyosema namnukuu 'ukiona CCM wameanza kukusifu inabidi ushtuke huenda kuna mahala umekuwa Boya' So mzee Baregu nakuamini sana naomba uendelee kutunza imani yangu kwako
 
Nchi kwanza...........Chama baadae.
Tatizo la Babu Slaa na DJ Mbowe wanataka wanachokisema wao basi iwe ndio tu na wamesahau kuwa KATIBA NI YA NCHI wala si ya Vyama vya Siasa!
Tatizo huyu babu hana inshu nyingine, kama angekuwa bussinesman kama alivyokuwa Mbowe alipoukosa urais 2005 akawa bize na miradi yake,
Sasa tatizo la babu hana Dili lolote zaidi ya siasa, Sijui ule mradi wa kufuga Nguruwe aliombea pesa Chadema bado haujamkeep busy?

 
Unajua sisi Chadema ndio tunamvuruga Prof. Baregu.
Hasa Mgombea Urais wa 2015 Dk Slaa!
 
Mi nashauri Aondolewe Baregu na nafasi hiyo Apewe Slaa maana naona ile milion 7.5 aliyoiweka kama sharti la kugombea urais haimtoshi mpika majungu huyu.

Wamezoea kufanya maamuzi chumbani kwa mtei sasa wamekumbana na kisiki.

Hongera Prof.

Na kuwaonea onea madiwani, safari hii wamekutana na mziki mwingine.
 
Njaa ni kitu kibaya sana! laki 3 kwa siku sio mchezo.

Tatizo la viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani ni njaa, hilo halina ubishi kwani hizi kelele nyingi za Dr. Slaa ni kuwaonea donge wenzake, Yeye vipesa vyake vingi lakini vinahesabika.

Mi nashauri Aondolewe Baregu na nafasi hiyo Apewe Slaa maana naona ile milion 7.5 aliyoiweka kama sharti la kugombea urais haimtoshi mpika majungu huyu.

Babu anataka kamati kuu ikutane ili na yeye aongezewe Mshiko, Living cost imekuwa juu sana.
Alafu tangu mwaka 2010 alipoweka hilo sharti mshahara uko pale pale, na posho ndio kabisa zimeota mbawa
 

The secret behind those toilet papers: jambaleo, haraleo, uharo, mzaaleo.
 

Tutakupata wapi tukuchome moto ukiwa hai ilhali hata sasa umeshakufa.
Ubongo uliokufa hautoi nafasi kwa mwili kuwa mzima.

CDM hawalilii public sympathy na ndio maana huoni viongozi wakijiangusha majukwaani. CDM inalili haki yako wewe usiyejua kuwa tembo unaowaona leo na kujivunia hata watoto na wajukuu zako nao wana haki ya kuwaona.

CDM wanataka kumsaidia shangazi yako na binamu zako uliowaacha kijijini kupata huduma za afya na sio fedha zikanunue kiwanja cha makaburi ya viongozi ambao dhahiri hawatazikwa hapo.

CDM wana dhamira ya dhati ya kuona usawa unapatikana katika matumizi ya rasilimali za nchi na sio akiumwa mkamata tembo akatibiwe India ila akiumwa shangazi yake The Fixer bicha maji a.k.a marehemu wa akili akose hata dawa mseto.

Kinachokusumbua wewe ni njaa na nikukumbushe kuwa shilingi elfu mbili mbili mnazopewa Lumumba hazina pension. Uzee wako hautakuwa tofauti na wenzio uliowaacha kijijini ambao hata sasa posho za Lumumba haziwafikii.

Ndugu yangu, Marehemu The Fixer, lengo hasa la ILANI YA UCHAGUZI YA CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO kutamka kuwa itaanzisha mchakato wa katiba mpya, ni kutaka kuondoa huu mfumo wa watu wengi kuwakilishwa na mtu mmoja ambaye si chaguo lao na amepatikana kwa siasa badala ya taaluma.

Ikiwa hilo ndio lengo la CDM, na CCM ikaliiba hilo lengo kwa manufaa ya kulipotosha, CDM hawatakaa kimya. Wajumbe wa Mabaraza ya Katiba ya Kata walichaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura, hii ikiwa na maana kuwa wananchi wamepewa nguvu ya kuchagua watu wa kuwasilisha mawazo yao, halafu inatokea tena watu 8 (ambao wako influenced na CCM) wanapangua chaguo la wananchi kwa kuwaondoa hawa na kuwaacha wale kwa vigezo visivyo wazi kwa wananchi, basi hapo sioni kama dhana ya katiba mpya inalindwa.

Kwa akili za watu wafu kama wewe, unaweza ukadhani kwamba hili nijambo la kuchekelea kama mlivyozoea kupinga kila kinachosemwa na upinzani. Lakini nakuhakikishia kuwa, hiyo tume ni upotevu wa fedha na muda kama itakavyothibitika kwa VITAMBULISHO VYA TAIFA. Bado sijafa kifikra kiasi cha kuamini kuwa watu wenye ubongo unaowaza kutumia 1bn kununua makaburi wanaweza kuwa ndio hao hao watu wa kuwa na mawazo yatakayotuletea maendeleo.
 
Last edited by a moderator:
Babu anataka kamati kuu ikutane ili na yeye aongezewe Mshiko, Living cost imekuwa juu sana.
Alafu tangu mwaka 2010 alipoweka hilo sharti mshahara uko pale pale, na posho ndio kabisa zimeota mbawa

Hata namna yako ya kuandika utumbo nayo ni utumbo. Kuna baadhi ya wanawake, ukiondoa kuzaa, basi hawana kingine cha maana wanachoweza ku-deliver hapa duniani. Still nina wasiwasi na product ya tumbo la mwanamke mjinga
 

Hata magazeti ya udaku hayakosi habari za WEMA,lkn sio maana yake WEMA ni mwema na ni wakuigwa ktk jamii,na CDM hivyo hivyo,DJ anamiliki (club)danguro na ngono,unga unabwia na kujiduna live bila wasiwasi,SLAA ana kesi ya kunyang'anya mke wa mtu.nguvu za soda tu.
 
Wapo Wapumbavu watakaoshambulia Gazeti badala ya kujadili hoja. Chadema wabadilike waruhusu watu wenye mawazo mbadala ndio maana ya Demokarsia
 



kama habari hizi ni za kweli, nawashauri chadema wampe nafasi baregu ya kuchagua kati ya kujiondoa kwenye tume au aendelee kuwa kwenye tume kama mtu binafsi na watoe tamko la kutomtambua kama mwakilishi wao. Wengine tunaona mambo ya mchakato hayaendi vizuri yeye anasema yupo kwenye tume kwa maslahi ya nchi. Hayo maslahi tutayajua hapo baadaye na dhamira yake aitha itakuja kumweka huru au kumshitaki. Chadema waendelee tu na msimamo wao wa kuhakikisha mchakato wa katiba mpya uwe kwa ajili ya maslahi ya nchi na wala sio kwa chama chochote binafsi. Tusonge mbele kwa kuachana na watu watakeo kuwa kikwazo kwa mabadiliko na wasipewe nafasi ya kuvuruga juhudi za mabadiliko
 

Maneno ya busara. Nadhani ni vizuri abaki kama mtu binafsi yaani hawakilishi chama chake, na ni muhimu zaidi kubaki. Na CDM ishiriki in a passive way.

By the way, JK anaweza kufanya kitu chema kwa nchi hii? KATIBA ni ya CCM na ya Dini fulani? I wish I can.....I will solve the problem once and for all
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…