Ziara zimewashinda wamerudi kufanya siasa mitandaoni na kwenye runinga! Na bado.
Ameonyesha uwezo mkubwa wa uchambuzi wa masuala ya kisiasa, amefafanua vema dhana ya kiongozi wa chama. Kipindi kiko vizuri sana leo.
Huyu Anna amepata u-Professor lini>
Au u-professor wake ni sawa na ule wa Maji Marefu, Manyaunyau etc!
Tumewazoea hamna jema la ACT hata moja.Wakianza ziara mara wanashangiliwa na ccm tu ,wanapunguza kura za upinzani .sasa wamealikwa kwenye media nako mnaona nongwa
Tumewazoea hamna jema la ACT hata moja.Wakianza ziara mara wanashangiliwa na ccm tu ,wanapunguza kura za upinzani .sasa wamealikwa kwenye media nako mnaona nongwa
Ameonyesha uwezo mkubwa wa uchambuzi wa masuala ya kisiasa, amefafanua vema dhana ya kiongozi wa chama. Kipindi kiko vizuri sana leo.