Probability ya kuoa na kuolewa

hizi ndo mada za kijinga jinga ambazo zinatrend jf siku hizi

ukitoa mada ya maana mada inafutwa au unaishia kupigwa ban kwa kuwa umemchambua mtu wa kwenye system.

jf na fb siku hizi hakuna tofauti.

jf ushilawadu tuu
utakula ban sasa hivi!
 
Kuolewa ni bahati, kuoa ni kuamua!
 
huu utafiti wako ulikua sponsored na taasisi gan?
 
Hujasema kwa mwanaume inabidi uwe na pesa kiasi gani ndo uoe.
 
Kwa wanaume, kuwa na hela, kuowa siyo probability tenaaa... NI SURE EVENT
 
Mbona total % zinavuka 100
Huwa hawajumlishi probability ya vitu viwili kila kimoja kinajitegemea mkuu, ngoja nikusaidie hapo ni kujumlisha probability ya kuolewa na kutokuolewa katika kila point
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…