Prize money for some African Leagues

Prize money for some African Leagues

Prize Money for Some African Leagues!

Nigeria
Premier League Winner N100 Million ($216,037)

South Africa
PSL Winner R15 Million ( $800, 565)

Morocco
Botola Winner MAD 3 Million ( $296,280)

Egypt
Premier League 2million EGP, 500,000 AED

Tanzania
Premier League Winner Tsh500 Million ($209,643)

DR. Congo
Linafoot Winner ($100,000)

Cameroon
Ligue 1 CFA 50 Million ( $82,026)

Eswatini
Premier League SZl 1 Million ($53,705)

Angola
Girabola Winner AoA 25Million ($37,600)

Ghana
Betpawa League Winner ¢300,000 ($26,510).

Zambia
Premier League Winner K500,000 ($25,319)

Kenya
Premier League Winner KeS 3Million ($22,000)

Uganda
Premier League Winner Ksh60 Million ($16,098)

Liberia
First Division L$1.5 million ($20,000.00)
Kenya and Uganda
 
Nadhani mnapotosha, ligi ya NBC mshindi hubeba 100,000,000

Hizo zingine ni za TV rights
uko sahihi,
nadhani Azam wakati anatangaza udhamini wake alikosea kujipa uamuzi wa kiasi gani bingwa atapata mpaka timu ya mwisho!

watu wakumbuke mtoa zawadi za ubingwa ni nbc na sio Azam
 
uko sahihi,
nadhani Azam wakati anatangaza udhamini wake alikosea kujipa uamuzi wa kiasi gani bingwa atapata mpaka timu ya mwisho!

watu wakumbuke mtoa zawadi za ubingwa ni nbc na sio Azam
Na Watanzania hawaelewi hilo swala kuwa Azam anatoa TV rights ni sawa na EPL TV rights hutolewa kwa timu zote shiriki kwenye ligi
 
Back
Top Bottom