Hahah yule demu mtata, anaitwa Susan B Anthonyndani ya seasson_3,episod ya 13 hapo kuna ujuzi binafsi wa scofield dhidi ya jasusi wa kike kama sijasahau anaitwa Grachan,anaachwa solemba hadi boss anampiga chini kijasusi huku scofield Amiens a mbele zaidi kumsaka SARA-tancred,
inayo season 5 yoteWadau mwenye link ya kuona hii movie naiomba
download TERRARIUM TV alafu player download MX player.,na kama unataka kudownload kabisa hizo series ongezea hii app DOWNLOAD ACCELERATOR.,utaenjoyUngetutahadharisha mapema mkuu. Though hujafanya kibaya.
anakuua huku anacheka, kumbe nae mbabe wake alikua kim, ila kellerman alikuja kubadilika na kua mtu mzur sanaPaul Kellerman.
escape plan iko vzr ila prison break ni moto wa kuotea mbaliUlishaona muvi ya Escape Plan? Yupo Syllivester stallone, Anord Schwizerniger na 50 Cent. Bongee la gereza lipo ndani ya meli hafu meli inatembea.
Mkuu hata Fox river ilikua kali ulinzi na lile la sona. Alitumia amili mingi zaid tu..
Hahaha....watake radhiMajasusi wa kiafrika sizan kama wanaubongo kama wa huyo jamaa...
kwa akili aliyoigiza Jack Bauer kwenye 24..Scofield bado hagusi na zaidi Jack kwenye 24 alikuwa anaumiza kichwa kukiwa na pressure ya kutokea matukio ya hatari yanayocost maisha ya watu na anafanikisha kurescue...Scofield ni kichwa sana ila alikiwa na mda wa kuplan bila pressure...all in all wenzetu wanajua ma hii industry kwao ni proffessional sio kiki kama huku bongo wengi wao wanavyoichukulia....pia nakubali sana mishe za kwenye LOST namna Ben na Genge lake wanavyochezea watu akili[emoji1] .Wasalaam;wakuu tujielekeze katika filamu iitwayo prison break ipo katika mtiririko wa season,lakini maudhui yake ni elimu tosha kulingana na mtiririko wa matukio yote ndani ya sinema hizo,kisa cha kwanza season 1,ukionja hapo huachi kuendelea na mtiririko wote hadi season4,ambapo kila episod ina dakika 44.kivutio ni mhusika mkuu Michael scofield akiigiza kwa umahil mkubwa sana na kugusa jamii nzima. Imepita miaka zaidi ya kumi jamaa wakadondosha seasson5 mwaka 2017,ujuzi wa humo ndani huchoki kutazama,kwa ufupi jamaa wanajua sana kuuvaa uhusika!
Hua ni saa ngapi boss na azam ipi?Miaka 10 iliyopita niliishia seaso 3 ikiwa haijaisha,kuna watu walianza utapeli wa kuuza vi epsode wakidai ni complete season,
Sikukata tamaa kwanza lakini nilikuja kuuziwa ya mbele na kilichomo ndani ni cha nyuma,hapo ndio mapenzi na wauza dvd yalinipotea.
KWA sasa naifuatilia Azam kqa lugha laini ya kisqahili.na pia muda wa nyumbani.
Azam one saa tatu usikuHua ni saa ngapi boss na azam ipi?
nasikia season 6 ixhatoka ni kweli au?ndani ya seasson_3,episod ya 13 hapo kuna ujuzi binafsi wa scofield dhidi ya jasusi wa kike kama sijasahau anaitwa Grachan,anaachwa solemba hadi boss anampiga chini kijasusi huku scofield akienda mbele zaidi kumsaka SARA-tancred,
Nadhani kwa ujasusi waangalie season ya 24 hours pia.
Ngoja nikatafute hiyo 24hrs harafu nitarudi ,na huko prison break nione ipi Ni ipi
naletaWadau mwenye link ya kuona hii movie naiomba