Prisca ananitisha



Na mahindi yamemuotea aso meno
 
Kidole kimoja hakivunji chawa mkuu,najua hujafikia hatua ya kuomba poo ila ukisafiri nishtue hata kwa PM
.
kizuri kula na nduguyo...
 
Umkuni vizuriii mpk anaomba poo.. utakuwa unakidole kidogo cha mguu ndio maana
 
Imagine, saa saba na dakika 21 mchana anafikiria mambo hayo, jee huyu mtu anafanya kazi au ndiyo hivyo tena?
 
Mpeleke akakatwe antenna yake maana ina'detect sana frequency.
 
Ofisini kwangu kuna nafasi ya kazi.. Njoo PM nikupe mawasiliano ili Prisca awe mfanyakazi mwenzangu, jioni akirudi hoiiiii hatokusumbua tena.

Nb: Elimu sio kigezo
 
​Nimewasikia wakuu... akili zenu nitachanganya na za kwangu... ngoja nikamkute nyuki matata wangu!!!!
 
ukianza kwenda kwa dr mwaka kupandisha cd 4 uje uanzishe na thread eeeh
 

Kama umemzidi umri kwa miaka kama mitano hivi ujue siku za mbele atakutoa knock-out halafu uanze saidiwa
 
Ma cross dongo kama haya ni adim sana then dogo analialia!daaaamh!!!
 
Unalialia nini? Mashine ikipata moto ipoze hakuna jinsi hapo vinginevyo wataanza kukuchapia siku si nyingi ,acha uzembe
 
Fanya mpango tukusaidie bro,Naitafutaga sana iyo chance ila sijaipata,Dah kuna watu wameumbwa duniani wakiwa wanapata raha tu.
 
Wengine tunavaliwa vipensi vya jinsi, pampuch kuipata ni issue ww unalalama ngoja cku mambo yaende kinyume ndyo utajua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…