Kwa waliokuwa mahakama kuu kanda ya arusha jana tarehe 3/8/2012; kuna kesi inayoendelea kati ya Principle Prof MONYO na Lecture ATHANAS CHALE. Upande wa mashtaka (MONYO) alikuwa na shahidi SABDAT A SABDAT pamoja na mawakili wa serikali huku bwana CHALE akiwa mwenyewe. Bwana CHALE ameshinda Kesi huku akiibua mambo kibao yenye uozo juu ya Prof MONYO.
Nanukuu " Mheshimiwa hakimu naomba kusema bwana MONYO amekuwa akiupotosha umma kuwa yeye ni Proffesor kuanzia 2008 wakati wadhifa huo ulibatilishwa na waziri baada ya kugundulika uprofessor(PHD) wake aliupata online" bwana chale aliambatanisha na uthibitisho wa ubatili wa PHD ya MONYO.
Mengine yaliyo ibuliwa ni pamoja na ukandamizaji wa haki za wafanyakazi, wanafunzi kufukuzwa chuo bila reason maalum ila ambalo litammaliza MONYO ni hili hapa; Kuanzia 2008 kuna barua ilitoka wizara husika ikiamuru ASSISTANT LECTURES wote walipwe 1.7M badala ya 1.4 M lakini bado wanalipwa 1.4M huku laki 3 kwa kila lecture ikiliwa.
Kwa mujibu wa chale MONYO ana uongozi wa kibabe!!
"jaji alikuwa akicheka wakati Chale akimwaga pointi" na MONYO awa mdogo kama piriton. Mawakili wa serikali walifuta kesi kutokana na kutokuwa na ushahidi wa kutosha huku Bwana ATHANAS CHALE akitoa ushahidi na vielelezo vya kutosha zikiwemo SMS na e-mails pamoja na barua.
Inavyoonekana bwana chale atadai fidia so MONYO ajiandae..
HONGERA BWANA CHALE!
WEWE NI JEMBE..
Nanukuu " Mheshimiwa hakimu naomba kusema bwana MONYO amekuwa akiupotosha umma kuwa yeye ni Proffesor kuanzia 2008 wakati wadhifa huo ulibatilishwa na waziri baada ya kugundulika uprofessor(PHD) wake aliupata online" bwana chale aliambatanisha na uthibitisho wa ubatili wa PHD ya MONYO.
Mengine yaliyo ibuliwa ni pamoja na ukandamizaji wa haki za wafanyakazi, wanafunzi kufukuzwa chuo bila reason maalum ila ambalo litammaliza MONYO ni hili hapa; Kuanzia 2008 kuna barua ilitoka wizara husika ikiamuru ASSISTANT LECTURES wote walipwe 1.7M badala ya 1.4 M lakini bado wanalipwa 1.4M huku laki 3 kwa kila lecture ikiliwa.
Kwa mujibu wa chale MONYO ana uongozi wa kibabe!!
"jaji alikuwa akicheka wakati Chale akimwaga pointi" na MONYO awa mdogo kama piriton. Mawakili wa serikali walifuta kesi kutokana na kutokuwa na ushahidi wa kutosha huku Bwana ATHANAS CHALE akitoa ushahidi na vielelezo vya kutosha zikiwemo SMS na e-mails pamoja na barua.
Inavyoonekana bwana chale atadai fidia so MONYO ajiandae..
HONGERA BWANA CHALE!
WEWE NI JEMBE..