Price of sam sung galaxy tab in dar es salaam.

Price of sam sung galaxy tab in dar es salaam.

Vitendo

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2009
Posts
582
Reaction score
104
Wadau habari za jioni..naomba msaada kwa anayejua bei ya Sam sung Galaxy Tab kwa Dar na ni duka gani naweza kuipata bila kuwa imechakachuliwa.
asanteni sana.
 
nenda samora revenue pale chini kuna duka from home ware to interteinment wares, pale utapata mimi nilinunua pale. bei yake sasahivi inaweza kuwa kwenye 1 million
 
Samsung wana maduka yao nenda pale Mlimani City Mwenge kuna duka zimejaa kibao hata haya maduka ya simu pale mlimani yanauza ,pia hapohapo Mlimani karibu na shoprite kuna duka la vitu vya electroni napo zipo pia kuna duka hapo hapo MC ukitokea CRDB kwenye kona ukiwa unaeenda NMB benki ni wewe na hela yako tu ,Bongo kama kwa Obama siku kitu chochote unakipata fedha yako tu na wala huna haja ya kupanda pipa au umwagize mtu sijui
 
Back
Top Bottom