President Obama's first 100 days

Huyo Dean....I can't wait for him maana ni loose canon. Yeye ukimjumlisha na VP wenu na Obama mwenyewe who is clueless...mbona tutapata burudani ya kutosha ktk miaka minne ijayo
Maybe lakini haiwezi kufikia burudani aliyotupatia Dubya! Kwikwikwiiii
 
Maybe lakini haiwezi kufikia burudani aliyotupatia Dubya! Kwikwikwiiii

At least tutapata burudani back to back then....Lol

But seriously, with Joey as the VP....labda wamkataze kuongea (kitu ambacho sidhani kama wataweza) la sivyo we are in for some very exciting and interesting gaffes...

Halafu unakumbuka siku ile alivyokuwa anamrushia madongo chief justice alivyochemsha kwenye kiapo cha Obama? Guess what? Na yeye mwenyewe Joey alichemsha wakati anamuapisha Mama....
 

Obama is too smart, don't expect any burudani. Joe atawekwa kwenye kamba fupi mno itakayomnyima uhuru wa kubofoa. Na kila atakabofoa jamaa atamweka kwenye kiti moto. Unapokuwa kwenye madaraka makubwa ni lazima ufikiri kwanza kabla ya kusema na siyo kukurupuka tu halafu kuomba samahani.
 
We Nyani! Geithner ameshapitishwa na waliomptisha ni hao mababu zako GOP! walimshikilia bango! Kwikwikwiii!

Hizi njemba zina double standards za hali ya juu! Geithner na Daschle wote walikuwa na matatizo ya kutolipa taxes lakini wakampitisha Geithner na kumshupalia Daschle kwa kosa lile lile!!! Hawa Republicans wa na viroja vya hali ya juu.
 

Oh yeah...IQ ya Obama ni 180!! He is the smartest president in the history of the world...

But seriously, sidhani kama Obama anaweza kumdhibiti Joey maana Joey nahisi deep down anadhani Obama hana qualifications za kuwa raisi na hajui issues kama yeye. Unajua Joey anadhani kuwa yeye ni smartest kushinda wote.....mwulize tu siku moja atakuambia...
 

Kumdhibiti haitawezekana, lakini atamweka kwenye short leash na kila akibofoa atamweka kiti moto. Si unaona ilibidi aombe samahani kwa CJ baada ya kumtupia madongo. Sasa kama ni mtu mzima mwenye akili timamu inabidi afikiri kwanza kabla ya kusema chochote au atalazimishwa kuomba samahani kila atakapobofoa na matokeo yake yeye ndiye atakayeonekana ni punguani.

Kama yeye ana qualifications zaidi basi angeshaukwaa Urais siku nyingi maana kagombea mara tatu na mara zote kapigwa chini. Mwenzake kagombea mara moja tu na kuukwaa Urais.
 
“Tom made a mistake, which he has openly acknowledged,” Mr. Obama said, speaking about Mr. Daschle, who he considers a close personal friend. “He has not excused it, nor do I.”

Hapo hasemi ukweli. Alijaribu kutoa excuses.

White House press secretary Robert Gibbs said last night that Obama stands behind his friend and confidant. “The president believes nobody's perfect but that nobody's hiding anything,” Gibbs said.
 

Basi Obama atakuwa na kazi ya ziada kweli maana kila mara Joey akifungua mdomo Obama atakuwa roho juu....kaaazi kweli kweli
 
Basi Obama atakuwa na kazi ya ziada kweli maana kila mara Joey akifungua mdomo Obama atakuwa roho juu....kaaazi kweli kweli

Look, hii ndo siasa lakini mi nadhani mtu kama Obama yuko Makini na kama yuko tayari kukiri kosa, it shows he is a fast learner adn cofident enough to owe up. Mi personally naona kama the whole thing is a joke and even off the record hata GOP wana-admit ni ujinga kulishikia ishu hii bango, hii ni kumkomoa Obama, but that is ok because that is the game! Lakini it is a good thing that daschle decided he will not be a distraction! Sasa move on, mkatafute ishu nyingine, we na Kuhani! .. NEXT!
 
Haya sasa maCEO walie tu, ndo maana walikuwa wanampa tafu babu yake Nyani maana walijua ye ni mshikaji wao, lakini kwa Obama wamekwama!

Na fat cats hawajachelewa kulalamika:
 


...you lost get over!
 
vipi mzungu wako wa makaratasi?

...told ya hizo game nilicheza bado niko college,naona wewe ndio umeingia kwenye game ambayo najua wajanja wote humu walishamaliza na wameshasahau,sio mbaya wewe weka mambo yako sawa maana ni usalama wako na hakuna ubaya wowote,paper lazima uwe nazo ngabu
 
Ndo maana some of the DoD and CIA people walikuwa wanamwogopa Obama, maana change is really coming huko!


Obama anajaribu kurudisha heshima ya nchi yake maana Dubya aliifanya jina la Marekani ilikosa hadhi kabisaaa!
 
BECAUSE,HE IS REASONABLE MAN.Thus why changes has come to AMERCA.
 

“General Zinni said he was more mystified than angry. “I don’t have a problem if they change their mind, but no one even bothered to call me. This is Leadership 101. To this day, no one has told me what happened.”


 
Labor pick deals with husband's tax problems

By SAM HANANEL – 11 hours ago

WASHINGTON (AP) - Labor Secretary nominee Hilda Solis became the latest Cabinet nominee to face questions about unpaid taxes Thursday as a Senate panel abruptly postponed a scheduled vote on her confirmation.

The postponement came after revelations that Solis' husband settled tax liens on his California auto repair business this week that had been outstanding for as long as 16 years.

The discovery posed another political headache for a White House already chafing after tax problems and other controversies derailed some administration appointments, including former Sen. Tom Daschle's nomination as health secretary. President Barack Obama pledged in TV interviews this week that he would "make sure that we're not screwing up again" in the vetting process.

White House spokesman Robert Gibbs insisted that Solis' own tax returns "are in order."
"She's not a partner in that business," Gibbs said. "So we're not going to penalize her for her husband's business mistakes."

Asked if the Solis nomination was in trouble, Gibbs said, "I don't believe it is at all."
USA Today first reported Thursday that Los Angeles County records showed 15 outstanding state and county tax liens totaling $7,630 against Sam Sayyad and his business.

White House spokesman Tommy Vietor said Solis and Sayyad were unaware of the liens until asked about them this week. He said Sayyad paid about $6,400 to Los Angeles County on Wednesday to settle the liens, but he plans to appeal.
Vietor said Solis - a Los Angles-area congresswoman - and her husband file personal income taxes jointly, but that Sayyad is the sole proprietor of the business and all tax communications about it go only to him at a separate business address.
"Sayyad does not believe the penalties were accurately assessed, but he's paid them out of an abundance of caution and is planning to appeal," Vietor said.

The Democratic and Republican leaders of the Senate Health, Education, Labor and Pensions Committee issued a joint statement minutes before the committee was to have met to vote on Solis' nomination to say that lawmakers need more time to review documentation about Solis.

Anthony Coley, a spokesman for the committee's chairman, Sen. Edward M. Kennedy, D-Mass., said the panel asked the Obama administration to look into the tax issue and report back.
"We are optimistic that the committee will be able to move forward with her nomination soon," Coley said.
Solis's confirmation was already stalled amid complaints from some Republican lawmakers about her role as a board member and treasurer of American Rights at Work, or ARW, a group pushing for passage of a bill to make it easier for workers to form unions.

Wyoming Sen. Mike Enzi, the committee's top Republican, has suggested that Solis should recuse herself for two years from debate over the Employee Free Choice Act because of her position with the group. He cites new ethics guidelines put in place by Obama that limit appointees who previously lobbied on an issue from being involved in the issue during their first two years in office.

Solis said last week in written responses to Enzi that her role with the group did not involve lobbying.
Meanwhile, the nation's largest labor federation, the AFL-CIO, plans to join with other unions, women's and Hispanic groups to pressure the Senate Friday to confirm Solis, accusing Republican Senators of stalling and delay.
"Starting tomorrow, the gloves are coming off," said an AFL-CIO source who helped make the decision on the lobbying effort and who spoke on condition of anonymity to discuss political strategy.

With the process becoming drawn out, Obama on Monday appointed Edward Hugler, a career Labor Department official, as acting labor secretary.
Another concern from Republicans is that Solis did not mention her positions with the group on her financial disclosure statements to the House for the years 2004 through 2007.
Vietor called it the result of "an unintentional oversight."
"As soon as she became aware of this oversight, she moved to correct it and has filed a letter with the clerk of the House correcting the omission," Vietor said.
Vietor said Solis would agree only to recuse herself for two years "from any particular matter involving specific parties which is directly and substantially related to ARW. The Employee Free Choice Act is not a particular matter involving specific parties."
The legislation, which is the top priority for labor groups, is vehemently opposed by business groups and most Republicans in Congress.

Vietor cited the House Ethics Manual, which says that a lawmaker can serve on the board of a nonprofit group without compensation regardless of whether it engages in lobbying. He said her position as treasurer does not make a difference because she never supervised any lobbying activities.
 
Nyaniiii! Obama amewasha moto! Mi si nilikwambia Jaluo atawa-change-ia msifanye mzaha, oho shauri lenu!
 
Sasa Steele naye amepatikana na matatizo.... ndugunization mpaka huko US kumbe ipo? Duh! Nyaniii! Hii tax issue ya nominees wa Obama will pale in comparison na hii ya Steele....


Au ni njama za hawa wathungu wa GOP, ambao hawajafurahia kabisaaaa mtu mweusi kuongoza chama chao, after all a Black man is already sitting in the White House. It is too much for them!
 
Na wewe Susu bana...yaani unaamini mi conspiracy theories
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…