Abou merlin
Member
- Jun 22, 2012
- 58
- 3
Fanya uelimike.. Kitabu kitukufu kikawe icho.. Kitabu kitukufu ni Qur-an peke yake..
Kuwa na akili kijana
Kuwa na akili kijana
mwisho naomba msaada wa vyandaruakikwete needs as well to condemn the killing of the innocent david mwagosi
Na condolence kwa Wana-Nyololo na Itete kufuatia kifo cha Daudi Mwangosi je?????????????????????????
Itakuwa hajapata taarifa za msimba wa mwangosi!
Ina wezekana hile kamati iliyoundwa ndiyo inafanya asiseme chochote mpaka uchunguzi ukamilike ndio atatoa salam za rambirambi!
Hapo ndipo tunapopata ushahidi wa mazingira kuwa ile 'operesheni ua Mwangosi' iliyosimamiwa kikamilifu na RPC, kamanda Kamuhanda, ilikuwa na baraka zote za mkuu wa nchi. Kwa kuwa haiingii akilini, kwa kifo kile kilichogusa hisia za mamilioni ya watu, ndani na nje ya nchi, Rais wetu auchune kimya kizito, halafu hivyo vifo vingine, fasta fasta, anatuma salaam za pole!! Lazima kuna jambo zito under carpet!!Kwa Mwangosi kauchuna lakini kwa Obama ni fasta....kweli prezoo tunaye!!