Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,947
- 5,342
Kuna mbongo ananidokeza hapa eti Rais Wa Tanzania anashindwa kwenda nje kutokana na kukosa passport maana uhamiaji wanamzungusha kama wanavowazungusha watanzania kuwapa passport nae vile Rais Wa wanyonge anaungana na wanyonge kusubiria mpaka apate atasafiri sana huko nje!....
Uhamiaji kuweni waungwana wahisheni passport
Sent using Jamii Forums mobile app
Uhamiaji kuweni waungwana wahisheni passport
Sent using Jamii Forums mobile app