Presha yangu haishuki 150/105 pr 65

malembeka18

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2018
Posts
3,791
Reaction score
4,485
Habari wakuu nimiezi mitatu sasa presha yangu haishuki Toka niugue homa kali ..presha tangia hapo haijawahi shuka pamoja na kufanya Kila jitihada presha inasoma 155/105 pr 66 Kila asubuh napoamka napima Nina mashine ya BP ,,

Mwezi wa wakwanzamwishoni nilipima vipimo vya figo,ini,moyo vyote vilikua sawa,wiki ya mwisho namiezi mwingine yanyuma Kila wakati nlikua napima na kabla ya kuugua nilipima presha ilikua 140/90,142/91,136/87,,,baada ya kuumwa na nyuki haijawahi shuka presha...nin nifanye
 
Ni vyema kujua au kama ulijua, homa kali uliyopata ilitokana na nini. Kwani kwa virusi vikali, matokeo ya stress hormones/homoni zinazosababisha mwili kututumka/inflammation madhira yake huweza kudumu mpaka wiki 12 au zaidi.

Homoni hizi husababisha presha au sukari kuwa juu na kuhitaji udhibiti zaidi ya hapo awali.
 
Bado sijakuelewa
 
Umepima ngwengwe?
 
Punguza stress huumwi wewe
 
Poa nina thyroids hyperthyroidsm nilipima siku moja kabla ya kuugua homa kali thyroids hormones zilikua sawa natumia carmbimazole Kila siku
 
Huna mikipo kweli unaweza ukawa umeweka bond nyumba kwa mkopo wa bank ikawa ndo shida iyo ya presha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…